lets hope soJuve anajtambua ataenda Nou Camp akjua kilichompata PSG hvo atafanya kwel
Leo muujiza utawabeba Barcelona.haya haya jaman wana juve wenzangu
refa akiwa fair tunapita leo
fino alla fine, forza Juventus
hahahaaLeo muujiza utawabeba Barcelona.
hahahaPale mashabaki wa Barcelona wanapopata taarifa kwamba Kuna red card Leo.
Wanaingia kwa mbwebwe na maringo-Camp nou.
tuta wadhibiti usijalii aseeMessiiiiiiiiiiiiiiiiii
Suarezzzzzzzzzz
Neymarrrrrrrrrrr