hiyo ndio mambo ya nyumbani
hahahaHawa jamaa walisema tunafanya Remuntada.sasa Remuntada yenyewe imekataa leo dah.
refa aliwakandamiza mechi ya kwanzaDah nilitabiri na LEICENSTER NA WAO WATATINGA NUSU FAINALI ILA DAH SEKUNDE MOJA TUU IKA COST TIMU...,,,
Hahahhahq mkuu kumbe unaujua mfumo wa catenaccio [emoji1][emoji1] italia wanautumia sana.
sawa
ukiisha mpira tutazungumza