Juventus Special Thread


Heshima kwako pia, mi nipo kule nimempa timu mchina afanye yake ili next season tuheshimiane aysee...
Ila ulio wataja wote soon wataibuka, hiki kikwazo cha leo ndio kiliwafanya wajifiche kwenye machaka ya Tuscan
 
Dohhh!! Kibibi bomba kimefanya kweli? Hongereni sana wapi ......[emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] ....wapi my dear Mourinho???

Hah hah hah Dear wako aliuza simu pesa akaenda kuoa goma la pili na hajarudi hadi leo.
Sipati picha angekuwepo hii leo sijui pangekuwaje humu ndani?

Forza Juve
Forza Seriea
 
inaonekana huu uzi ulikuwaga na watu active sana eeh

ila si mbaya hata siye sku moja moja tuna stua stua hapa

wewe amini
juve tuna vuka leo

Humu ndani kuna watu wamenipa sana shida, ndio maana nilivoingia tu nikaweka silaha chini na kusema "the enemy of my old friend is my enemy"...
Hili jukwaa ni la marafiki zangu wa zamani ambao baada ya Milan kupiga mbizi kwenye kokoto walinigeuka na kuanza kunipa vichambo kila kukicha...

Ila all in all Forza Juve Forza seriea
 
Hongera sana wana Juve....mi nawatakia kila la heri msimu huu kombe lije Italia ..... ForzaJuve.
 
Hah hah hah Dear wako aliuza simu pesa akaenda kuoa goma la pili na hajarudi hadi leo.
Sipati picha angekuwepo hii leo sijui pangekuwaje humu ndani?

Forza Juve
Forza Seriea
Hahahahahah tafadhali bana usiniue kwa presha,nitafutie mtu hii kwa udi na uvumba ije hapa.....

Mwenyewe sipati picha angekuwepo humu hahahaha PNC angekoma!!
 
Katika uhai wake, Mbilikimo Lionel Nesi hajawahi kumfunga Gigi Buffon...

Hah hah hah NAFWAAAA
Wewe kwa maneno yako balaa!! Hahahaa ngoja nikasome vichambo vyako mtaa wa pili mbonq kale kanafunzi katakuwa kamekomaa!! Ila katajificha siku kadhaa ndo aibuke tena na kelele zake.
 
Heshima kwako pia, mi nipo kule nimempa timu mchina afanye yake ili next season tuheshimiane aysee...
Ila ulio wataja wote soon wataibuka, hiki kikwazo cha leo ndio kiliwafanya wajifiche kwenye machaka ya Tuscan
Ila Milan akikomaa mechi zake zote zilizobakia akashinda basi bila shaka msimu ujao watakuwepo champions league. Maana wana tofauti ya point 3 tu na lazio wanaoshika nafasi ya nne, wakati huo lazio ana mechi ngumu dhidi ya Roma, fiorentina na inter. Wakati ac milan tuna mechi ngumu dhidi ya Roma na atalanta. Hivyo inabidi wapambane washinde mechi zote zilizobakia. Hongera kwa Juve kwa kuwakilisha vyema katika UCL
 
Astakafilulah shekhe. siwezi hata siku moja kupanda basi la Malkia kaka. Bora niende hata kwa miguu dar mwanza.
 
ALIVYOINGIA BARZAGLI TU BASI NDIO MNYORORO UKAFUNGWA NA NIKAONGEZA MOTO KWENYE SHISHA HUKU NIKIVIANGALIA KWA DHARAU VISICHANA TOKA CATALAN...

FORZA OLD FRIEND
FORZA JUVE

wanasema barca wamekutana na ukuta[emoji1][emoji1][emoji1]il barca con un muro
 
Spartacus wamefanya kazi nzur [emoji122] [emoji122] [emoji122]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…