Juve ndio wameua mpira wa italia haiwezekani kila top player serie A anunuliwe juventus mmeua competition kabisa ligi haina mvuto ni sawa na ligue 1 na Bundesliga.... Huu upumbavu hauwezi kuukuta la liga yaani barca auze mtu madrid ama atletico auze madrid hakuna kitu kama hicho ndio mana bado kuna competition kwenye top 3 ila serie A ligi imekufa ssa higuain alikuwa tishio mkamchukua mkaiua nguvu napoli.... Benadetto cjui pjanic walikua wachezaji muhimu wa timu zao leo wote wako juve mpira hauna maana tena sio kama enzi zile ya AC milan ya kina seedorf ama juve ya kina Camoranesi na Inter ya kina zanetti walikuwa hawana huu upumbavu wa kuibiana wachezaji na ndio maana wakawa competitive mpaka mwisho ila leo hii kila mchezaji serie A anataka juventus kma shortcut ya kubeba champions league
R.I.P Serie A