Juventus Special Thread

Juventus Special Thread

Mkuu ulitaka Juve tutumie pesa mingi sana kwa kununua wachezaji Wabovu? Timu yetu inauwezo tu na sio imeharibu ligi
Ni kweli mnatakiwa msajili wachezaji bora ila afya zaidi ni kusajili nje ya nchi ili muongeze ushindani kwa timu za ndani ila hii tabia ya kuchukua best players wa timu zingine za serie A mnaua mpira

Benedetto...pjanic... Sciglio....cancelo...higuain...dybala... Ongeza!! mwisho wa siku mmetengeneza monopoly ya timu moja yenye nguvu sasa ndio nni hiki mnaongoza ligi kwa point za double figures hata msimu haujafika katikati!! Na ndio maana champions league hamtoshinda kamwe maana hamjazoea competition hivyo mkikutana na vitimu vya spain huko lazima viwanyooshe...

Na hapa ndio EPL inapowazidi uhondo sio rahisi kukuta monopoly hata man city inajaribu ila haitoweza maana financially kuna timu zaidi ya 6 zinauwezo wa kupambana nao kusajili sasa nyie ligi maskini alafu mnaua competition mnategemea mpira utakua.

R.I.P Serie A
 
Vipi mkuu! Kuna matumaini ya Juventus kung'ara kwenye UEFA msimu huu?
Matumaini yapo lakini knock out stages ni mikakati tu na sio ubora wa timu na ndio maana msimu huu naipa upatu Atletico madrid kulibeba kombe sio tu sababu fainali inafanyika uwanja wao bali wana mfumo wa kuwabeba knock out stages

Mfano mtu anapaki basi anapiga counter moja tu ameshinda mechi alafu second leg anakaba mwanzo mwisho huyoo kavuka hadi final ila such mentality juve hawana ndio maana wakashindwa mtoa madrid dakika za mwisho

So maoni yangu Juve ana nafasi kama atabadili mentality.... Ni hayo tu
 
Jana kaka mkubwa katibua goli dk za mwisho.Angeacha tu ule mkwaju wa Dybala uende.Selfish!
 
Matumaini yapo lakini knock out stages ni mikakati tu na sio ubora wa timu na ndio maana msimu huu naipa upatu Atletico madrid kulibeba kombe sio tu sababu fainali inafanyika uwanja wao bali wana mfumo wa kuwabeba knock out stages

Mfano mtu anapaki basi anapiga counter moja tu ameshinda mechi alafu second leg anakaba mwanzo mwisho huyoo kavuka hadi final ila such mentality juve hawana ndio maana wakashindwa mtoa madrid dakika za mwisho

So maoni yangu Juve ana nafasi kama atabadili mentality.... Ni hayo tu
Hiyo mentality mpya labda aje Zidane au Deschamps.Na mzee Lippi au Sacchi mmojawapo awe mshauri wa kiufundi.Wanahitaji mapinduzi makubwa ya kifikra waitaliano.They need to modify their tactical approach and intergrate it with modern technical approach.
Hii lazima ianzie madarasa yao ya ufundi.
 
Ni kweli mnatakiwa msajili wachezaji bora ila afya zaidi ni kusajili nje ya nchi ili muongeze ushindani kwa timu za ndani ila hii tabia ya kuchukua best players wa timu zingine za serie A mnaua mpira

Benedetto...pjanic... Sciglio....cancelo...higuain...dybala... Ongeza!! mwisho wa siku mmetengeneza monopoly ya timu moja yenye nguvu sasa ndio nni hiki mnaongoza ligi kwa point za double figures hata msimu haujafika katikati!! Na ndio maana champions league hamtoshinda kamwe maana hamjazoea competition hivyo mkikutana na vitimu vya spain huko lazima viwanyooshe...

Na hapa ndio EPL inapowazidi uhondo sio rahisi kukuta monopoly hata man city inajaribu ila haitoweza maana financially kuna timu zaidi ya 6 zinauwezo wa kupambana nao kusajili sasa nyie ligi maskini alafu mnaua competition mnategemea mpira utakua.

R.I.P Serie A
Wewe Tatizo lako ni wivu tu na utakuwa Shabiki la AC Milan tu maana mmemind kuwapa kwa Mkopo Higuain... Poleni mlimtaka wenyewe na akirejea Turin anakuwa na ubora wake Chelsea wanamsubiri hamjui kumtumia... so hasira zenu ndio Mnaishambulia Juve... Pale hata uweke fitina kwa kibibi kizee utaishia kupata maumivu tu... Njama tulishazizoea sana lakini uwezo wetu ni mkubwa na tunajua kucheza karata zote...

Wewe utakuwa ni mtu wa maumivu sana kumbe na Atletico Madrid pia unaishabikia muhahahaha... ile timu ina kimavi pole sana...

Kama Kununua wachezaji wa nje ni kosa basi EPL ilingekuwa ilishakufa kitambo sana... na kiufupi ligi ya Italia msimu huu ndio inatizamwa sana... I hope Mwakani Icard atatua Mjini Tulin ili uumie zaidi
 
Wewe Tatizo lako ni wivu tu na utakuwa Shabiki la AC Milan tu maana mmemind kuwapa kwa Mkopo Higuain... Poleni mlimtaka wenyewe na akirejea Turin anakuwa na ubora wake Chelsea wanamsubiri hamjui kumtumia... so hasira zenu ndio Mnaishambulia Juve... Pale hata uweke fitina kwa kibibi kizee utaishia kupata maumivu tu... Njama tulishazizoea sana lakini uwezo wetu ni mkubwa na tunajua kucheza karata zote...

Wewe utakuwa ni mtu wa maumivu sana kumbe na Atletico Madrid pia unaishabikia muhahahaha... ile timu ina kimavi pole sana...

Kama Kununua wachezaji wa nje ni kosa basi EPL ilingekuwa ilishakufa kitambo sana... na kiufupi ligi ya Italia msimu huu ndio inatizamwa sana... I hope Mwakani Icard atatua Mjini Tulin ili uumie zaidi
Hata hujakosea mie ni Team atletico since back then na kukuonyesha kuwa ligi bora hutengeneza timu bora za UEFA angalia timu za hispania kudominate UEFA kule Europa walibeba sevilla mara 3 mfululizo na Champions league walibeba madrid mara 3 mfululizo na yote ni sababu ligi yao iko competitive sana... sasa vitu kama hivi huwezi kuvikuta Italy maana ligi ya ndani hakuna ushindani umemalizwa na juve.

Unaposema atletico ana kimavi ur kidding right?? Mind you amechukua Europa na super cup kwa kuidungua Real timu ambayo juve mmeishindwa kwa recent UEFA matches sasa nani hapo ana kimavi juve au atletico?? Juve mara ya mwisho kubeba hata UEFA cup ilikuwa mwaka gani?? Bajeti ya atletico haifikii robo ya bajeti na gharama za usajili za juve ila wana uefa super cup 3 na Europa ligi 3 ndani ya decade hii then unasema wana kimavi??

Mie nlikuwa mshabiki sana wa Serie A enzi hizo Italia moto kuanzia Parma ya kina cannavaro mpaka Hellas verona ya Adrian mutu.... Hapo kuna Inter ya zamorano na AC milan ya kina Baggio moto usipime sio cku hizi timu moja tu mmeua mpira

Hapo unakuta msimu ujao Icardi,Under na Piatek wanahamia juve..... Narudia tena RIP Serie A na kwa tabia hii subirini kipigo kutoka atletico maana wao kila mechi spain ni competitive hivyo UEFA haiwashindi ila kazi kwenu msiozoea ushindani mtanyooshwa tu maana hakuna namna

Poleni sana
 
Hata hujakosea mie ni Team atletico since back then na kukuonyesha kuwa ligi bora hutengeneza timu bora za UEFA angalia timu za hispania kudominate UEFA kule Europa walibeba sevilla mara 3 mfululizo na Champions league walibeba madrid mara 3 mfululizo na yote ni sababu ligi yao iko competitive sana... sasa vitu kama hivi huwezi kuvikuta Italy maana ligi ya ndani hakuna ushindani umemalizwa na juve.

Unaposema atletico ana kimavi ur kidding right?? Mind you amechukua Europa na super cup kwa kuidungua Real timu ambayo juve mmeishindwa kwa recent UEFA matches sasa nani hapo ana kimavi juve au atletico?? Juve mara ya mwisho kubeba hata UEFA cup ilikuwa mwaka gani?? Bajeti ya atletico haifikii robo ya bajeti na gharama za usajili za juve ila wana uefa super cup 3 na Europa ligi 3 ndani ya decade hii then unasema wana kimavi??

Mie nlikuwa mshabiki sana wa Serie A enzi hizo Italia moto kuanzia Parma ya kina cannavaro mpaka Hellas verona ya Adrian mutu.... Hapo kuna Inter ya zamorano na AC milan ya kina Baggio moto usipime sio cku hizi timu moja tu mmeua mpira

Hapo unakuta msimu ujao Icardi,Under na Piatek wanahamia juve..... Narudia tena RIP Serie A na kwa tabia hii subirini kipigo kutoka atletico maana wao kila mechi spain ni competitive hivyo UEFA haiwashindi ila kazi kwenu msiozoea ushindani mtanyooshwa tu maana hakuna namna

Poleni sana
Sawa tutasubiri kuona maneno yako ya utabiri yatafanya kazi
 
Hata hujakosea mie ni Team atletico since back then na kukuonyesha kuwa ligi bora hutengeneza timu bora za UEFA angalia timu za hispania kudominate UEFA kule Europa walibeba sevilla mara 3 mfululizo na Champions league walibeba madrid mara 3 mfululizo na yote ni sababu ligi yao iko competitive sana... sasa vitu kama hivi huwezi kuvikuta Italy maana ligi ya ndani hakuna ushindani umemalizwa na juve.

Unaposema atletico ana kimavi ur kidding right?? Mind you amechukua Europa na super cup kwa kuidungua Real timu ambayo juve mmeishindwa kwa recent UEFA matches sasa nani hapo ana kimavi juve au atletico?? Juve mara ya mwisho kubeba hata UEFA cup ilikuwa mwaka gani?? Bajeti ya atletico haifikii robo ya bajeti na gharama za usajili za juve ila wana uefa super cup 3 na Europa ligi 3 ndani ya decade hii then unasema wana kimavi??

Mie nlikuwa mshabiki sana wa Serie A enzi hizo Italia moto kuanzia Parma ya kina cannavaro mpaka Hellas verona ya Adrian mutu.... Hapo kuna Inter ya zamorano na AC milan ya kina Baggio moto usipime sio cku hizi timu moja tu mmeua mpira

Hapo unakuta msimu ujao Icardi,Under na Piatek wanahamia juve..... Narudia tena RIP Serie A na kwa tabia hii subirini kipigo kutoka atletico maana wao kila mechi spain ni competitive hivyo UEFA haiwashindi ila kazi kwenu msiozoea ushindani mtanyooshwa tu maana hakuna namna

Poleni sana
Fact. Hii tabia pia wanayo Bayern Munich, kuchukuwa wachezaji nyota wa timu pinzani ili kujivika ufalme wa german.
Ref Hummel, Gotze,Levy na hata Nuer.

Mchezaji yeyote mzuri anayecheza Bundasliga BvB wakionyesha nia ya kumsajili basi hawa bavarian nao wanaingilia ili kuzivuruga timu nyingine. Ila msimu huu wameshaangukia pua.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hispania kwa sasa hakuna team bora ni kama ilivyo kwa Italy tu

Kilichopo kwenye hizi league ni wachezaji kadhaa bora wanaoamua matokeo tu katika baadhi ya team walizopo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe utakuwa ni mtu wa maumivu sana kumbe na Atletico Madrid pia unaishabikia muhahahaha... ile timu ina kimavi pole sana...
Mkuu upo?? Naona leo Juve imefundishwa mpira wa ushindani sio yale mabonanza mliyozoea kucheza huko Italia sijui cagliari na chievo!! Poleni sana jaribuni tena bahati mwakani maana Huko Turin tegemea Simeone kupaki basi mwanzo mwisho.
 
Hii timu imekumbwa na nini?

Sent using Jamii Forums mobile app
Na leo imezikwa rasmi.... Shida hakuna ushindani Serie A timu imebweteka ndio maana tokea christmas mpira mbovu sana wanacheza kibaya zaidi wanataka kumsajili na Icardi msimu ujao!! Yaani kwa mtindo huu wa kuunda monopoly serie A mashindano kma UEFA mtaendelea kuyasikia redioni tu.
 
Mkuu upo?? Naona leo Juve imefundishwa mpira wa ushindani sio yale mabonanza mliyozoea kucheza huko Italia sijui cagliari na chievo!! Poleni sana jaribuni tena bahati mwakani maana Huko Turin tegemea Simeone kupaki basi mwanzo mwisho.
Mkuu hata kulekule Turin wanakufa Hawa vizuri
 
Write your reply...juve, psg Bayern nyie wote mtindo wenu wa kununua wachezaji wa ndani kwa lengo la kujitengenezea mamlaka ndo yanawaponza! maana ndani ya ligi mnakosa changamoto. endeleeni kuwapiga chievo! UEFA mtapigwa sana. alichowafanyia atletico ni mwanzo tuu
 
Na leo imezikwa rasmi.... Shida hakuna ushindani Serie A timu imebweteka ndio maana tokea christmas mpira mbovu sana wanacheza kibaya zaidi wanataka kumsajili na Icardi msimu ujao!! Yaani kwa mtindo huu wa kuunda monopoly serie A mashindano kma UEFA mtaendelea kuyasikia redioni tu.
Yaani hii ni juve mbovu kuliko misimu iliyopita chini ya Allegri. Huko Italy kwenyewe alipigwa tatu bila na Atalanta na kutolewa kwenye copa italy.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom