Ronaldo nomaaATL wamekimbia humu... mamruki kutoka barcelona leteni uchambuzi kuhusu Ronaldo sasa
Naona maneno yako leo utayanywa
Haaahaaa naona mmefukua makaburi...... Anyway Juve were the better side jana approach ya simeone kupaki basi ilitucost sanaTumeona mkuu kapaki basi mwanzo mwisho na alichokitaka amekipata pia
Sent using Jamii Forums mobile app
Si approach ya Simeone tu before game hata ulitaka Simeone afanye hivyo bila kujua/kuwaza Ronaldo anachezea timu gani ulayaHaaahaaa naona mmefukua makaburi...... Anyway Juve were the better side jana approach ya simeone kupaki basi ilitucost sana
Hongereni
Safi Sana mkuu! Big upNaona umeiwekea Mdhamana Athletico ila nakupa pole maana atatoroka na jela utaingia wewe... Athletico ni wahuni fulani usiwaamini shauri yako ni kama Westhama tu wale.... Juve imefunzwaje Mpira wakati game waliitawala yote Hadi Griezzman aligeuka beki mkuu
Juve na ManU Lazima zitacomeback tu wala usikhofu..
Mzee mama Mourihno ndo angeweza mzuia Juve siyo uyu Ole..Tulia wewe,tulishakutana umesahau mara hii
Mzee mama Mourihno ndo angeweza mzuia Juve siyo uyu Ole..
kama mnakutana na moja kat ya hizi timu robo fainal Ajax/Juve bas ndo utakuwa mwisho wenu..
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona first leg Ronaldo alifichwa?? Shida ni kwamba atletico ilikuja kupaki basi bila mipango ya kutafuta goli hivyo it was obvious attacking initiative ilikuwa upande wa juve...... Na aliefaidika ni ronaldo ila angekuja na mawazo ya kushambulia hata allegri asingekuwa attack minded maama angekuwa anawaza kubana asifungwe mechi ingebalance na Ronaldo angefichwa mind u magoli yote ni cross na set piece hakuna individual goal la Ronaldo.Si approach ya Simeone tu before game hata ulitaka Simeone afanye hivyo bila kujua/kuwaza Ronaldo anachezea timu gani ulaya
Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
Sasa ni kila mchezaji ana uwezo wa kufunga nafasi alizofunga Ronaldo? Nafasi aliyopata Morata au yule dogo Kein zote hazikuwa za wazi ila alizofunga Ronaldo za wazi? Jifunze kutoa credit panapostahili sio kunywa maji ya bendera hata kama ukweli unauona, Simeone mwenyewe amekiri Ronaldo ndie alieamua mechiMbona first leg Ronaldo alifichwa?? Shida ni kwamba atletico ilikuja kupaki basi bila mipango ya kutafuta goli hivyo it was obvious attacking initiative ilikuwa upande wa juve...... Na aliefaidika ni ronaldo ila angekuja na mawazo ya kushambulia hata allegri asingekuwa attack minded maama angekuwa anawaza kubana asifungwe mechi ingebalance na Ronaldo angefichwa mind u magoli yote ni cross na set piece hakuna individual goal la Ronaldo.
Tactical mistake tu sio Ronaldo wala nni
Mkuu yule mtoto Bernardesch amenipigia kazi ya Maana sana Cancelo,Pjanic, Emre Can wote walikuwa moto wa kuote mbali janaAllegri kanifunga hili domo langu.
Damn,that was a tactical masterclass!
Jinsi alivyowatumia Ronaldo na Bernardeschi kutanua defence ya Atleti,Cancelo na Spinazolla kuoverload pembeni,jinsi Mandzukic alivyoshughulisha central backs wa Atleti huku Ronaldo na Bernadeschi sometimes wakicheza free roles kuingia golini kwa Atleti pale akina Spinazzola walipopanda,jinsi Emre Can alivyoziba nyuma mapengo ya full backs waliopanda mbele,jinsi walivyotambua ilivyo ngumu kupenyeza mipira ya chini kwenye defence ya Atleti na kuamua kutanua na kuoverload width ya Atleti na kumimina mvua ya crosses kwenye vichwa vya Ronaldo na Mandzukic,sub ya Dybala(chenga na kumiliki mpira) na Kean (pace) ilivyozidi kuwachosha Atleti defence,jinsi timu nzima ya Juve walivyokuwa wakikimbilia mipira na kuwakaba Atleti wasipate hata muda wa kujipanga,jinsi walivyofungua vyumba wakiwa na mpira(running into spaces)...what more can i say?!...Allegri and co,thank you and i shut my big mouth today.