Juventus Special Thread

Juventus Special Thread

Wewe Tatizo lako ni wivu tu na utakuwa Shabiki la AC Milan tu maana mmemind kuwapa kwa Mkopo Higuain... Poleni mlimtaka wenyewe na akirejea Turin anakuwa na ubora wake Chelsea wanamsubiri hamjui kumtumia... so hasira zenu ndio Mnaishambulia Juve... Pale hata uweke fitina kwa kibibi kizee utaishia kupata maumivu tu... Njama tulishazizoea sana lakini uwezo wetu ni mkubwa na tunajua kucheza karata zote...

Wewe utakuwa ni mtu wa maumivu sana kumbe na Atletico Madrid pia unaishabikia muhahahaha... ile timu ina kimavi pole sana...

Kama Kununua wachezaji wa nje ni kosa basi EPL ilingekuwa ilishakufa kitambo sana... na kiufupi ligi ya Italia msimu huu ndio inatizamwa sana... I hope Mwakani Icard atatua Mjini Tulin ili uumie zaidi
Nilionya sana mkanishambulia leo hii yakwapi..... Ligi mbovu hupelekea timu mbovu. Mmekosa internal competition ndio maana timu haijazoea mechi za pressure namna hii.

Muache tabia ya kununua wachezaji bora wa Serie A matokeo yake mnashinda scudetto kila mwaka ila UEFA mtabaki kuliona kwenye TV tuu.
 
Hahahahahha huu mkwara uchwara..... Enhee Juve ndio walikua accurate jana??

Shida mna midfield mbovu mkasajili sio kukalia kujaza washambuliaji..... Hivi kweli kwa midfield ya Can na betancur ndio mbebe UEFA

U can't be serious
Na washukuru tu Approach ya Diego Simeone Second leg ilikuwa poor walikuwa wanatoka kitambo hawa
 
Hahahahahha huu mkwara uchwara..... Enhee Juve ndio walikua accurate jana??

Shida mna midfield mbovu mkasajili sio kukalia kujaza washambuliaji..... Hivi kweli kwa midfield ya Can na betancur ndio mbebe UEFA

U can't be serious
Walizidiwa mchezo
 
Nilionya sana mkanishambulia leo hii yakwapi..... Ligi mbovu hupelekea timu mbovu. Mmekosa internal competition ndio maana timu haijazoea mechi za pressure namna hii.

Muache tabia ya kununua wachezaji bora wa Serie A matokeo yake mnashinda scudetto kila mwaka ila UEFA mtabaki kuliona kwenye TV tuu.
Ajax walikuwa na luck game tu but sio kwamba ni wazuri kuliko Juventus.. Kocha wa Ajax tu kasema Juve na Real Madrid waliiogopa timu yao tu.
 
Timu nusu ya wachezaji ni Age ya 30+ Chezeni huko huko ligi ya mchangani ya Akina Torino ,Chievo ,Parma ndio level yenu
Hivi inakuwaje mtu anaisema vibaya timu iliyofika mbali katika ligi ya Mabingwa?
 
Hahahahahahahahah mchezaji kama Emre Can Liverpool walitimua nyie mkaenda kubeba mkiamini atawapa UEFA Hahahahahahahahah
Jana wakati tunatizama Mechi wapenzi wa Liver walikuwa wanamsifia Erme sielewi wewe ni Shabiki wa timu ipi!

Juve ni Team iliyokamilika... we will come back again... Soccer ndio ilivyo ila kwa juve si timu ya level Ndogo.... Tukimchukua Icardi nadhani ndio mtazidi kuichukia na chuki zenu ndio Baraka Kwetu
 
Jana wakati tunatizama Mechi wapenzi wa Liver walikuwa wanamsifia Erme sielewi wewe ni Shabiki wa timu ipi!

Juve ni Team iliyokamilika... we will come back again... Soccer ndio ilivyo ila kwa juve si timu ya level Ndogo.... Tukimchukua Icardi nadhani ndio mtazidi kuichukia na chuki zenu ndio Baraka Kwetu
Mchukueni tu atawasaidia kubeba Scudetto tu sio vinginevyo
 
Jana wakati tunatizama Mechi wapenzi wa Liver walikuwa wanamsifia Erme sielewi wewe ni Shabiki wa timu ipi!

Juve ni Team iliyokamilika... we will come back again... Soccer ndio ilivyo ila kwa juve si timu ya level Ndogo.... Tukimchukua Icardi nadhani ndio mtazidi kuichukia na chuki zenu ndio Baraka Kwetu
Icard kwenye kivuli Cha Ronaldo? Ni kumpoteza tuu... Ronaldo anataka Timu icheze kumzunguka yeye ndomana unaona dyaballa wa msimu huu kiwango kimepungua...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jana wakati tunatizama Mechi wapenzi wa Liver walikuwa wanamsifia Erme sielewi wewe ni Shabiki wa timu ipi!

Juve ni Team iliyokamilika... we will come back again... Soccer ndio ilivyo ila kwa juve si timu ya level Ndogo.... Tukimchukua Icardi nadhani ndio mtazidi kuichukia na chuki zenu ndio Baraka Kwetu

Kwa kipa huyo mlie nae na hiyo defense ya shikamoo jazz band msahau tu UCL crown.
Bibi mzee ataendelea kusindikiza kama overhaul haitafanyika
 
Kwa kipa huyo mlie nae na hiyo defense ya shikamoo jazz band msahau tu UCL crown.
Bibi mzee ataendelea kusindikiza kama overhaul haitafanyika
Even Barca wamesota sana tokea last time walipokuwa mabingwa wa UCL hivyo ni Subra tu
 
Ukiwa mshabiki wa barca,af Italia ukaipenda Juve(kabla ya kuja Ronaldo),basi kila gam Juventus wakifanya vibaya,lawama zote unamtupia Ronaldo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
Mara oooh,anataka timu icheze chini yake,hampi uhuru Dybala.



Ile game Juve anapoteza 2-1 kwa Spal,kuna swahiba wangu wa barca na juve,akanambia,tatizo ni Ronaldo palee,alikuwa hajafaham kama Ronaldo hakuwepo hiyo siku[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mtaongea sana. Mm juve lawama zote nampa kocha. Kocha wa juve hawezi kutupa UEFA .bora hata apewe timu babu wa Atalanta. Nilisema mda tu, huwezi kumtoa Mattia Caldara kwa mkopo Milan ukamwacha Rugani kwenye timu. Huawezi kimruhusu Benatia aondoke kisa Bonnuci karudi. Huwezi kumpanga de sciglio wakati mwaka jana tu game na madrid ilimshinda akaingizwa lichestriner. Unamwacha Mandragora aende kwa mkopo Udinese wakati dogo ndio beki mwenye roho mbaya. Tulichovuna ndio kile, De sciglio katuua wenzie wanacheza offiside trick yeye anatembea nyuma. RuganI yy mrefu anazidiwa kuruka kichwa na De ligt, mbaya zaidi anafanywa stand wakati wa kuruka kichwa badala ajiangushe ionekane ni rafu yy anapambana Pumbavu kabisa Mandragora na Caldara wasingeruhusu u.se.nge ule.
 
Back
Top Bottom