FT: Juventus 1-0 Monaco (Vidal pen 57)
Sio matokeo mabaya kabisa kwetu, clean sheet na goli moja la ushindi. Jumatano itawabidi tu Monaco wafunguke pale dimbani kwao kutafuta ushindi, na hapo ndipo kitawakuta kilichowakuta Dortmund
#ForzaJuve
Vp penalt tuliyopewa, Mimi naona kama ilikuwa soft sana. Mzee pirlo VP Leo kacheza kwa kiwango ulichotegemea?...
Ongereni sana wazee wa Juve, naona mnakwenda second-leg mkiwa na pumzi za kutosha.
Ahsante Salamander, hawa watoto wanacheza defensive sana, sasa hiki kimoko kitabadili kabisa approach yao na hapo ndipo watakapokoma na sisi
Mpira siku hizi umeharibika kabisa ( huu wa UCL), wachezaji badala ya kucheza wanafanya kazi ya kudefend mwanzo mwisho, utaona forward moja inakabwa na beki nne. Na filimbi nazo nyingi sana, mtu akiguswa tu anapepea kama karatasi.
Itakua vizuri sana kama wataondoa ile sheria ya away goal, maana ile imechangia sana kwa baadhi ya team kupark mabasi
Huyu mtoto Morata huyuu
Vp penalt tuliyopewa, Mimi naona kama ilikuwa soft sana. Mzee pirlo VP Leo kacheza kwa kiwango ulichotegemea?...
Si umeona game yetu sisi leo, tumecheza vizuri lakini draw ya 0 - 0 inatufanya tuwe hatarini kutolewa. Na ndio hayo hayo niliyosema, watu wamejazana chini tu wanapanda kwa kuvizia matokeo yake hakuna magoli. Mpira wa kipumbavu sana
Kwa wenzenu garasa, mnyie mnamuona bonge la player.
Hongereni sana wazee wa Juve ni mwanzo mzuri natumai marudio mtafanya vizuri na tutawaona semi- final.