Gang Chomba
JF-Expert Member
- Feb 29, 2008
- 20,649
- 4,786
Mbona tunapindua hii, ngoja uone.
Ban ya mwaka, hakuna mjadala.mkuu omba radhi mkuu...huyo Invisible mi sina hamu nae...alinitwanga BAN mpaka akina Mourinho na Matola wakaenda kuniombea poo
Vamonos chicos
Siyo haters kiivyo Isco leo mtamu zaidi ya mcharo..........
refa mpira umemshinda
mshukuru sana lady luck was smiling on you mkawapata Juve- hapa Bayern au barca kwa mpira mnaocheza leo ingekula kwenuYaani Juve wametu-shut down kabisa. Tunacheza bila madhara.
Hivi Bale yupo uwanjani? or he has gone missingNadhani Ancelot asifanye sub yoyote.