raphael andrew
JF-Expert Member
- Aug 27, 2017
- 817
- 938
- Thread starter
-
- #21
kuelewa nako ni kipajiHaziwezi isha kwasababu kuna match ambazo ni unknown, kama vile UEFA champions league
season ni pamoja na UEFA mkuuHaziwezi isha kwasababu kuna match ambazo ni unknown, kama vile UEFA champions league
Mkuu kuna mtoano, kuna robo final, na nusu final. Wanajuaje kama watafika?season ni pamoja na UEFA mkuu
Messi hana mauzo kushinda Ronaldo. Imagine akipozi kifua wazi Tangazo la boxer na ile midevu yake.
angalia hii list ya wanamichezo wenye hela
https://www.forbes.com/athletes/#36ea841055ae
kisha angalia kwenye mapato nje ya mshahara utaona romaldo anapata kama 47m na messi kama 28m.
ukinunua hiyo ticket ni kwa mechi zote zimejumuishwa mkuu hawaangalii mechi moja moja we ukishanunua hiyo mashindano yote timu itayoshiriki unaingia free., sasa timu ikitolewa mapema bahati yako mbaya...ni kama kununua beli la mtumba hujui uko ndani nguo n nzima au mbovuMkuu kuna mtoano, kuna robo final, na nusu final. Wanajuaje kama watafika?
Hapo sawaukinunua hiyo ticket ni kwa mechi zote zimejumuishwa mkuu hawaangalii mechi moja moja we ukishanunua hiyo mashindano yote timu itayoshiriki unaingia free., sasa timu ikitolewa mapema bahati yako mbaya...ni kama kununua beli la mtumba hujui uko ndani nguo n nzima au mbovu
Haa haa haa aiseee hii n noumaaukinunua hiyo ticket ni kwa mechi zote zimejumuishwa mkuu hawaangalii mechi moja moja we ukishanunua hiyo mashindano yote timu itayoshiriki unaingia free., sasa timu ikitolewa mapema bahati yako mbaya...ni kama kununua beli la mtumba hujui uko ndani nguo n nzima au mbovu
Pesa mboma isharudi, hata wakimuuza now ni poa tuKibibi kizee (Juventus) kimenunua mchezaji mzee! Ni suala la muda tu waanze kujuta!!!!!