Jux amemjibu Mimi Mars kwa kumwambia mapenzi sio mashindano

Jux amemjibu Mimi Mars kwa kumwambia mapenzi sio mashindano

Jux ni HB??? hahaha don't abuse the word HB please....

Vee ni mbovu [emoji23][emoji23][emoji23] ila wabongo roho za korosho tulirithi wapi jameniiiii.
Vee ni mbovu sura hana,shepu hana,mfupi status tu ndiyo inayombeba KWA maana ya umaarufu na mitonyo aliyonayo LABDA km hujawahi kumuona live unamuona kwenye filter za insta,
 
Huyo Rotimi mbona Kama bwabwa

Kisa anaigiza power

Mi kwa jinsi ninavyoona hawana future yeyote coz sioni chemistry yeyote kati yao isitoshe huyo rotimi ana watoto

Vanessa kafuata Kiki za umaarufu tu hamna jipya kitu pale

Mimi mars ni mshamba tu aka limbukeni .

Jux akaze tako amelegea mno [emoji2957]
dah umeua mkuu[emoji2][emoji2][emoji119]
 
Kwa hiyo na wewe unaona Jux ni HB?

Hebu say it loud..... Jux ni........????
Lol
siwezi kumuambia mtu ni mbaya au mzuri.. wote si binadamu ni sawa. tu..

weka picha yako apa tukuone Kama mzuri..
Dada /kaka.
 
Et true love,,,hahaaaa kwa watoto wa kipare ambao mkiachana asubuh mchana kapata bwana mwingine p@mbavu kabis@.
Huyo mimi mars Mimi hiyo minyonyo ndala hapo kifuani ndio shida,huyo jux naye boya tu JAMAA HB halafu anatembea na mademu wa bovu halafu kazubaa ndo maana anadharaulika JAMAA ilitakiwa anyooshe mademu wote mastar sasa HV Mimi Mars analiwa na marioo
 
Mimi ni mzuri najitambua,
Je wewe na Jux nani mzuri???
Mimi ni mwanaume sifa ya mwanaume ni kazi..
sio sura..

nafuatulia mziki wake sio sura yake..

huwezi kuona kama unajitambua. Bali watu ndo watajua kama upo hivyo au lah..
 
Ndo dem wake mbona long time kitambo
Sio unachanganya na msanii mwingine jina lake lime nitoka..ni kademu fulani hivi walikua wanakatania sana mitandaoni..kalikua studio ya nay mkuu?
 
Shamsa Ford?
Hapana kuna kadem fulani kalikua kadogo dogo hivi ikaja kujulikana nay anakila au ndo huyu huyu mimi mars? Jina lake limenitoka huyo manzi anapenda kunyoa nywele na kuweka way
 
Anaitwa Nini
Hapana kuna kadem fulani kalikua kadogo dogo hivi ikaja kujulikana nay anakila au ndo huyu huyu mimi mars? Jina lake limenitoka huyo manzi anapenda kunyoa nywele na kuweka way
 
Hapana kuna kadem fulani kalikua kadogo dogo hivi ikaja kujulikana nay anakila au ndo huyu huyu mimi mars? Jina lake limenitoka huyo manzi anapenda kunyoa nywele na kuweka way
Amezaa nae,right?
 
Sio unachanganya na msanii mwingine jina lake lime nitoka..ni kademu fulani hivi walikua wanakatania sana mitandaoni..kalikua studio ya nay mkuu?
Hapana kuna kadem fulani kalikua kadogo dogo hivi ikaja kujulikana nay anakila au ndo huyu huyu mimi mars? Jina lake limenitoka huyo manzi anapenda kunyoa nywele na kuweka way
Shamsa Ford?
Anaitwa nini
Screenshot_20191206-222445.jpg
 
Back
Top Bottom