Jux amlilia Vanessa Mdee

naona anajaribu kutengezea mazingira ya kuonewa huruma ili na yeye apate views nyingi kwenye kivideo chake kipya kule youtube....janja ya nyani.
 
Wabongo mna diss, msela anaumia jmn...vipapuchi vya watoto wembamba huwa vitamu balaa!
 
Kiki ya wimbo wake mpya "Utaniua".....Mshauri atoe picha za kitandani za Vanessa ndio Kiki yake itatiki
 
Vanesa alikuwa mtu muhimu kuliko mtu yeyote kwake?! Kwani Jux huna wazazi?! Any way hilo ni funzo ukimpa mwingine ukampenda usifanye tena mapenzi ya KISELA..
Mapenzi y KISELA yapoje mkuu?

Sent from my Priceless H40-D00 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…