Jux anajua kuomba msamaa mpaka mtoto (vanessa mdee) kumkubali tena

Changes boy

JF-Expert Member
Joined
May 17, 2017
Posts
552
Reaction score
363
Jux anajua kubembeleza na kuomba msamaa mpaka mtoto kanyanyua mikono juu
 
Wapenzi huwa hawaachani, wanapumzishana tu. Hata ukijiingiza kichwakichwa lazima usomeshwe namba
 
Ndio umeona kina umuhimu wa kupostiwa humu..empty kabisa
 
Duuh mkuu... Kama huna mpango w kumuoa huyo Dada mwache aolew na usijisifu kumdinyia mwanamme mwenzako...karma is not a liar ..she keeps receipts
yawezekana hata mimi kuendelea kumkaza huyu mtu ata akiolewa ni karma pia kwa jamaa wacha nimpe stahiki yake alipe karma kwa aliyo yafanya na yeye nyuma.

nikiacha kuyafanya ntazuia karma upande wake pia, nami ntaisubiri zamu yangu
 
yawezekana hata mimi kuendelea kumkaza huyu mtu ata akiolewa ni karma pia kwa jamaa wacha nimpe stahiki yake alipe karma kwa aliyo yafanya na yeye nyuma.

nikiacha kuyafanya ntazuia karma upande wake pia, nami ntaisubiri zamu yangu
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…