MSAGA SUMU
JF-Expert Member
- May 25, 2015
- 6,661
- 21,656
Naona vijana wanazidi kutisha tu kila kukicha,mapokezi aliyopata Jux Nairobi ni balaa ,ni kama ya rais Uhuru,full ulinzi msafara wa magari kadhaa,ni wanje wanje.
Watanzania wenzangu tusiwachukulie poa hawa wasanii wetu.
Watanzania wenzangu tusiwachukulie poa hawa wasanii wetu.