Kwa kweli waendelee tu kufaidiWaache wenzio wafaid basi , Ndo habar ya mujin mpwa , lol
Huo unusu utupu hapo uko wapi binamu? Mbona akina CR7 wanapiga sana hizo picha na hatusemi chochote?
Na tena ni boxer zake mwenyewe, sio akina Calisah wanaovalishwa hadi heels [emoji151] kutangaza biashara za wengine.
Jibu lako nimelipenda sanaMwanaume akivaa brief kama hizo si panatuna??..Jaribu siku moja upande huu,acha kujibanabana huko ulipo
Asante, MI nilijuaga panaitwa daslam
My wangu,upoo?!
Okay.Never
Kwahiyo analika kama tembele ugaliBinamu nae , unakua kama mgen na mimi , umbea lazima unogeshe kidogo [emoji16][emoji16]
Calisah nae kazid, Mpaka uchi wake aliupost halafu nilisahau kuandika umbea wake , yule anadanga had kwa wanaume
Acha niipende tu haijanikosea.Wewe kweli unapenda ngono
[emoji39][emoji39]Acha niipende tu haijanikosea.
Iko Nini ?Hahaha... aisee.