Jux apost picha yenye “UTATA” kwenye ukurasa wake wa Instagram

Huo unusu utupu hapo uko wapi binamu? Mbona akina CR7 wanapiga sana hizo picha na hatusemi chochote?
Na tena ni boxer zake mwenyewe, sio akina Calisah wanaovalishwa hadi heels [emoji151] kutangaza biashara za wengine.
 
Huo unusu utupu hapo uko wapi binamu? Mbona akina CR7 wanapiga sana hizo picha na hatusemi chochote?
Na tena ni boxer zake mwenyewe, sio akina Calisah wanaovalishwa hadi heels [emoji151] kutangaza biashara za wengine.

Binamu nae , unakua kama mgen na mimi , umbea lazima unogeshe kidogo [emoji16][emoji16]

Calisah nae kazid, Mpaka uchi wake aliupost halafu nilisahau kuandika umbea wake , yule anadanga had kwa wanaume
 
Sometimes stress inaweza kukufanya kitu hujategemea ,huyo ana stress za vanessa
 
Binamu ndio umetumwa utangaze biashara kiujanjaujanja?
 
Pale unapokua confident na kibamia chako..lol..im joking
 
Doh! salaaalee...😁 vijana wa kizazi cha kovid-19....😂job true true...
 
Binamu nae , unakua kama mgen na mimi , umbea lazima unogeshe kidogo [emoji16][emoji16]

Calisah nae kazid, Mpaka uchi wake aliupost halafu nilisahau kuandika umbea wake , yule anadanga had kwa wanaume
Kwahiyo analika kama tembele ugali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…