Jux apost picha yenye “UTATA” kwenye ukurasa wake wa Instagram

Jux apost picha yenye “UTATA” kwenye ukurasa wake wa Instagram

Mwanamuziki matawi ya juu bongo , na anayejua kupangilia vizur mavazi yake, juma jux , hivi karibuni amezua gumzo kwenye mitandao ya kijamii baada ya kupost picha akiwa nusu utupu, hali iliyozua sintofahamu kwa mashabiki zake .


Tunajua Jux ana advertise boxer zake , ila kwa huu mkao wa kwenye picha huenda kuna biashara nyingine anayoitangaza kwenye ulimwengu wa kiroho .

Ila huyu nae ana nyota ya kunguni, hat ajichetue vipi no one cares

View attachment 1471486
Jux amevaa boxer ya kike
 
Yeah.
But it would go a long way if you learnt to respect people.
It shows that you are mature and intelligent too
What if am still immature n dumb?
why shouldn't u just ignore n take care of gud buznes!?
Kwaheri mkuu
 
Wanaume inatakiwa tuwekewe ulinzi kama Tembo,maana ndiyo kiumbe kinachopotea kwa haraka sana.......
 
cha ajabu kipi, waafrika halisi weusi sifa yetu kuu ni kuwa na ndizi zilozoshiba
 
What if am still immature n dumb?
why shouldn't u just ignore n take care of gud buznes!?
Kwaheri mkuu
It became my business when you insinuated 'jichanganye usagwe'

Know your limits and be respectful.
 
Nmekosa cha kuandika, nasoma comments tyuuh.
 
Back
Top Bottom