dsm-confidential
Member
- Nov 26, 2014
- 19
- 4
Jux ndio muanzilishi wa kampeni ya 'Unfollow Davido' kule instagram. Jana SAA NNE usiku ndio alipost kampeni hiyo ikiwa ni dakika 20 tangu Davido a post ile sentensi. Watu wakaanzia pale na hatimaye hali ipo kama ilivyo.
Sasa ukimu-unfollow davido unapata faida gani..? Au unahisi unamkomesha? Leo hao jao wanaoporomosha matusi na ku-unfollow ndio wa kwanza kucoment leo mchana pale Davido alipopost picha ya range rover yake mpya. Sasa majirani zetu wakenya na waganda wamegeukia upande wa Davido na wanatucheka kwa kushindwa kuelewa hata simple English aliyoitumia Davido.

Sasa ukimu-unfollow davido unapata faida gani..? Au unahisi unamkomesha? Leo hao jao wanaoporomosha matusi na ku-unfollow ndio wa kwanza kucoment leo mchana pale Davido alipopost picha ya range rover yake mpya. Sasa majirani zetu wakenya na waganda wamegeukia upande wa Davido na wanatucheka kwa kushindwa kuelewa hata simple English aliyoitumia Davido.
