chongchung
JF-Expert Member
- Jun 23, 2013
- 13,277
- 40,924
Duh! hapa kwa kweli nipo mbali sababu haya mambo ya fakebuku sijui kilogramu na twiga siyajui kabisa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unahitaji ubao na chaki,ngoja utaelekezwa!!
Ukweli uko wazi kenya uchumi wao uko juu kuliko uganda na uganda uchumi wao uko juu kuliko TANZANIA.. Samsung wana mpango waku fungua kiwanda cha simu zao kenya in future, uganda wana aanza ku manufacture magari muda si mrefu na sample zilisha toka.... Tanzania Escrow wana endelea ku gawana hela... ukweli ni kwamba wa bongo tuna ropo ropo sana, maneno pipa zima... kwaheri!!!!!!
Kuna wajinga wachache wanatuchoresha sana...kuna watu wanamwaga mitusi kwa kitu kidogo na davido kuonyesha umwamba katupia mndinga huku wajinga kina dj choka wamekazania unfollow davido. .leo nimegundua kuna mapimbi kuwa na followers wengi ndo good life ndo maana wanadhani kumunfollow davido ndo adhabu. ...
Msando naye kapiga Kampeni ya Unfollow Davido 😀
Nikitoka hapa break ya kwanza ni kum-follow davido,
Unahitaji ubao na chaki,ngoja utaelekezwa!!
Ww boya Uganda wametuzidi uchumi toka lini ?? Achaa kuchangia habari usizokua na uhakika nazoo nakwambiaa....!!!
Naamini hata mzee wako ni mtanganyika. lolWatanganyika ndo watu wapuuzi zaidi kuwahi kutokea duniani.
mi yoote yule yapite ila yule aliyetukana nimemuona hana akili ht ya kuvaa chupi
davido nimefurahi kajibu kihekima sana na nimenza kumfollow leo huko ig
Huna kazi ya kufanya
https://jamii.app/JFUserGuide you dimond,ommy dimpoz and Dj choka