Nikitoka hapa break ya kwanza ni kum-follow davido,
tumechoshwa na esikroo isiyofanyiwa maamuzi. wacha turelaxMimi nakereka sana na hizi kampeni za kuhamasishana kushabikia mambo ya KIPUUZI yasiyo na faida kwetu, wakati ishu za maana kama ESCROW watu wamekuwa kimya kama hakuna kilichotokea. Sisi wabongo sijui nini ni vipaumbele vyetu.
Mimi nakereka sana na hizi kampeni za kuhamasishana kushabikia mambo ya KIPUUZI yasiyo na faida kwetu, wakati ishu za maana kama ESCROW watu wamekuwa kimya kama hakuna kilichotokea. Sisi wabongo sijui nini ni vipaumbele vyetu.
Sasa na yeye anatamba kujua Kiingereza halafu anaandika Kiingereza cha hovyo! Mtu anayejua Kiingereza hawezi kusema "Tanzanians they...."Jux ndio muanzilishi wa kampeni ya 'Unfollow Davido' kule instagram. Jana SAA NNE usiku ndio alipost kampeni hiyo ikiwa ni dakika 20 tangu Davido a post ile sentensi. Watu wakaanzia pale na hatimaye hali ipo kama ilivyo.
Sasa ukimu-unfollow davido unapata faida gani..? Au unahisi unamkomesha? Leo hao jao wanaoporomosha matusi na ku-unfollow ndio wa kwanza kucoment leo mchana pale Davido alipopost picha ya range rover yake mpya. Sasa majirani zetu wakenya na waganda wamegeukia upande wa Davido na wanatucheka kwa kushindwa kuelewa hata simple English aliyoitumia Davido.
View attachment 209260
Tatizo la bongo yupo Instagram hata haelewi kakuta mtu katusi yaani anaendelea chini yake f.....k u sasa ukimuuliza wa next anatoa mijicho tuu.Hahahaha kweli watanzania tupo bado Stone Age.:becky::becky:
Nenda Instagram kasome wabongo tunachopost.............................................................................................................................................................................................................................then come back.wewe ni c.uma. wewe wala sio mtanzania.