Jux vs Ben Paul

Jux vs Ben Paul

brigedia mafia

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2016
Posts
2,260
Reaction score
2,279
Habari wana jamvi kama title inavyosema hapo juu nahitaji kujadiliana nanyi kuhusu hawa watu wawili nan mkali kuliko mwengine??
1472567102279.jpg

Karibuni
 
Masikio yanatofautiana sasa huu ubishi wenu sijui kama mtapata jibu. Au mna mpango wa kuanzisha timu. Vizuri afadhari timu ziwe nyingi, sio Simba na Yanga tu.
 
Back
Top Bottom