brigedia mafia
JF-Expert Member
- Jul 21, 2016
- 2,260
- 2,279
Habari wana jamvi kama title inavyosema hapo juu nahitaji kujadiliana nanyi kuhusu hawa watu wawili nan mkali kuliko mwengine??
Karibuni
Karibuni
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
just like me!Ntampa kura Ben Paul kwavile ana hits nyingi zaidi, ila kwa trend anayoenda nayo Jux akitoa nyimbo nyingi zaidi itakuwa kazi kuchagua, all in all wote ni wakali sana
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mbona Jux kashakupa jibu we angalia kwenye hiyo picha kidole chake kimemuonyesha nani..yani umemaliza booklet la kwanza unataka na booklet la pili..
basi mororoMkali Belle 9
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]Ben Pol kama jengo la GSM Mobile Plaza na Jux ni kama jengo la Simba Sports Club.(samahani lakini)
jux kwa nyimbo gani amzidi ben pol hebu acheni ujinga ben pol fundi kila idara na hakosei
Tatizo nyotaMkali Belle 9