Juzi nilijaribu kufanya hili kwa ma-EX zangu...

Juzi nilijaribu kufanya hili kwa ma-EX zangu...

nakubaliana na wewe huyu anatupaza. Na kama ni kweli ni dhahiri ni wale ambao wakipewa namba na demu kuchat kiurafiki tu tayari anakuwa ni demu wake na baadae ex bila ya demu kujua. Hii yote nalaumu vishuri vya chuo na tamthilia za kifilipino.

wote ni HITED
 
nilichogundua wewe ni dhaifu katika mahusiano, kwa maana unawasichana wachache sana...11????

ningewaweka hit and run listi ingekuwa ndefu sana mkuu,,hao ni official
 
hapana hata wao wamenirubuni,miaka yote hiyo nipo pamoja nao walichochangia kwenye maisha yangiu ni sifuri,,,Mungu kamuumba mwanamke ili awe CHOMBO CHA STAREHE


Kama wanawake ni chombo cha starehe mbona mkiombwa hela mapovu yanawatoka? starehe si garama bwana? wapeni sasa hizo hela coz starehe ni garama sio mnakuja huku mnatupigia kelelee mara wanawake ombaomba mara sijui wanawake nini. we endelea kuwadharau ipo siku yatakurudi.
 
Kama wanawake ni chombo cha starehe mbona mkiombwa hela mapovu yanawatoka? starehe si garama bwana? wapeni sasa hizo hela coz starehe ni garama sio mnakuja huku mnatupigia kelelee mara wanawake ombaomba mara sijui wanawake nini. we endelea kuwadharau ipo siku yatakurudi.


kuwapa hela kwani ni starehe?
 
Nilichogundua
Wasichana 11
Tufanye kwa kiwango kidogo umetumia gharama ya gest, chakula, outing kwa kiwango cha chini kwa kila mmoja 500000
Kwa wote 11 umeshatumia 5500000
Ungekuwa na kiwanja bunju chenye msingi
We genius sana!!!
 
Mie binafsi nimegundua .... Wewe ni jipu.. na Lazima utumbuliwe

Wasichana 11+ nyau wewe
Umenifurahisha sana, ningejua namba tako ningekurushia vocha kwa kweli. Umewaza nn hadi ukasema nyau wewe
 
Ama kweli, JF cku hz imejaa VIAZI! Kuna cku mimi pia nilitoa shida hapa kati yangu na my wife wangu ili nipate michango ya mawazo as of what to do next, zaidi ya 80% wakachangia kwa mihemko na hivyo kupiga nje! Mleta uzi alikiri tangu mwanzo kuwa ni wazo la kijinga (wakati anaandika tayari alikuwa mjinga) na ameweka wazi pia kuwa shida yake hapa apate maoni yenu juu ya RESPONSE ya ma-ex wake, mijitu inaishia kumdadavua tena yeye mwenyewe! Kwa akili hz tutaendelea kuwagegeda mpaka mkome!
 
Umenifurahisha sana, ningejua namba tako ningekurushia vocha kwa kweli. Umewaza nn hadi ukasema nyau wewe

hahaha,,,we umefurahia nilivyoyukanwa mpaka unataka kurusha vocha?
 
Ama kweli, JF cku hz imejaa VIAZI! Kuna cku mimi pia nilitoa changamoto yangu hapa kuhusu juu yangu na my wife wangu, zaidi ya 80% wakachangia kwa mihemko na hivyo kupiga nje! Mleta uzi alikiri tangu mwanzo kuwa ni wazo la kijinga (wakati anaandika tayari alikuwa mjinga) na ameweka wazi pia kuwa shida yake hapa apate naoni yenu juu ya RESPONSE ya ma-ex wake, mijitu inaishia kumdadavua tena yeye mwenyewe! Kwa akili hz tutaendelea kuwagegeda mpaka mkome!

nafuu umeona aseeh,,atu wanaulizwa A wanajiby B... understanding ya watu ni ndogo sana aseeh,,,au vipii
 
A
Wiki iliyopita nikiwa nimekaa kitandani kwangu ghafla kuna wazo la kijinga lilinijia out of nowhere. Naliita la kijinga kwa sababu ukifikiria mm ni colleague wa chuo fulani hapa jijini kwa hiyo ilinnipasa nifikirie beyond this anyway nikaamua kufanya.

Wazo lenyewe lililonijia ni kuwa jaribu kuwakumbusha some best memories of us,and most importantly how we used to SEX.Master plan ilikuwa ni mm kuigiza kuwa nimemiss MCHEZO TU.

basi nikaanza kutafuta contacts zao,zingine zilikuwa GoogleContacts,,wengine nikawatafuta from friends mpka nikapata number... iakchukua siku nzima niliowapata WAKAFIKA 11 NIKASEMA INATOSHA.

Nikaandika bonge moja la ujumbe ili niforward kwa kila mmoja wao...Nikaanza ujumbewangu,nikajitambusha mm ni Jay ur ex-bf na blah blah za mbona mkimya na nn,,,, nikisifia "our days", na ujanja WAKE kitandani, na kwamba sasa hivi i dont get enough kama nilivyokuwa napata kwake>> NIKAIFORWARD sasa......kwahiyo huu hapa ni mrejesho kwa baadhi yao in their final say baada ya chatting mbili tatu......

1)Inamaana Jay sikuhizi upo single?

2)Jay siamini unachokisema..akanipigia simu tukaongea...akaniambia yupo mkoani Mzumbe hawajafungua 3rd year.

3)Mwingine akasema nimpe mda afikirie kuhusu SEX ila nijue kuwa ana mtu wake.

4)Mwingine akamalizia kwa kusema yupo mkoani akirudi atanitafuta ...

5)Yupo chuo hapa mjini ila mambo yanabana atanitafuta.

6)We need to talk first...

7) Hivi kipindi kile tulipoachana what did u think? umeshachezea wengine hukoo now unarudi tena kwangu?I hate you Jay.

8)Jay nimeshaolewa mwenzio.... haya nikampa hongera zake

9 )No response

10 & 11) Wametoa msimamo wao kuwa haiwezekani kwa sasa....

Na ikawa hivyo,,,wewe umegundua nn kutoka kwa hawa ma-ex wangu?
Acha ujinga Tata Soma
 
Back
Top Bottom