mwisho2016
JF-Expert Member
- Jun 27, 2016
- 724
- 625
Kama kichwa kinavyojipambanua, Mimi sipo kwenye uyanga Wala usimba, washabiki wastaarabu napenda wanavyoelezea hasa wanapobishana. Lakin washabiki wakorofi na wananazi wa hizi timu mbili hajikuta siwachukii , nawachukia wanapoanza kushabikia.
Najikuta nauliza, hivi nchi yetu ni Yanga na Simba tu. Hivi hamuonagi manakera wengine, pale tunapopaa Ulaya, wanapotea kwa sbb kule hakuna ushamba.
Nirudie kusema huu ushabiki unatuharibia timu ya Taifa. Binafsi ninafuraha moyono namna wachezaji wa kulipwa wakina samata, na wengine wanavyoelezea nguvu stars ...nakiri Yanga na Simba wanatupotezea muda na kutupigia kelele...
Haya mwageni povu hapa
Najikuta nauliza, hivi nchi yetu ni Yanga na Simba tu. Hivi hamuonagi manakera wengine, pale tunapopaa Ulaya, wanapotea kwa sbb kule hakuna ushamba.
Nirudie kusema huu ushabiki unatuharibia timu ya Taifa. Binafsi ninafuraha moyono namna wachezaji wa kulipwa wakina samata, na wengine wanavyoelezea nguvu stars ...nakiri Yanga na Simba wanatupotezea muda na kutupigia kelele...
Haya mwageni povu hapa