Kitambi chakufutia tachi
JF-Expert Member
- Jun 16, 2019
- 1,063
- 2,566
Shabiki pekee wa UTO ambaye ukiacha UUTOPOLO huwa nakuelewa sana.Yaah makundi mtaenda ila huko ndio mtaenda kupata shida kutokana na Nature ya kikosi cha sasa
Struggle ni nyingi kuliko Good performance
Sometimes lazima tuambiane ukweli na tukubaliane