JWTZ cyber warfare unit

JWTZ cyber warfare unit

Hujataka tu....wanaweza ila utaliwa hela bure...uambiwe iko arusha utoe nauli...

Baada siku 3 utaambiwa yuko dodoma utoe tena huo ndio ujinga sasa simu ya laki 3 unaitafuta kwa laki 2.5....ujinga bora utafute ingine.....wanatupiga deal
Kama kuna mauwaji alafu simu ikachukuliwa na wauwaji,ndani ya muda mfupi wanakamatwa kupitia simu!!
 
Kwa nini imekua ngumu wakati swala lipo kwenye uchunguzi!? Je kwa kuficha password huoni kama ni hijuma hiyo ili uchunguzi ufeli!!??
kisheria kuna kitu kinaitwa "right not to self incriminate" - Kila mtu ana haki hiyo ukiwemo wewe. sasa polisi waje wakukamate halafu wakuambie toa password ili tukuchunguze, hiyo umewahi kuisikia wapi humu duniani?
 
mambo ya jeshi hayakuhusu kwa sababu wewe sio mwanajeshi, unataka ujue kila kitu cha jeshi ili iweje?

Sasa yale ambayo huwa yanaonyeshwa yanakusudiwa kupeleka ujumbe gani kwa hadhila kama mdau alivyouliza?
Nadhani hili jibu lako 'halina akili kama si la kitoto'.
 
Back
Top Bottom