JWTZ: Daima tutamlinda na kumtii Rais wa JMT na Amiri Jeshi Mkuu

JWTZ: Daima tutamlinda na kumtii Rais wa JMT na Amiri Jeshi Mkuu

JW ya ajabu sana hii. Wanatoa press release kujibu kipa tuhuma? Majeshi ya Ulinzi huwa hayabehave namba hii

Homa ya 2025?
 
JESHI AU MGAMBO??? YAKIITWA MAJESHI NAO WANATOKA MBELE???
Umekosa tena umekosa sana ndugu yangu jifunze kuheshimu hao watu nami nilikua kama wewe lakini hao uliowadharau walikuja kunitoa sehemu hiyo kifo kilikua nje nje acha niishie hapa lakini ipo siku hii kauli yako itakuumiza sana moy wako
 
Msumbiji inayoomba msaada SADC kwasababu huko Capo Delgado Mambo si shwari, je hiyo ni nchi tajiri? usipende kujianika kwa upumbavu ulionao.
Umeumia Sana pole karne hii kubali critics hata ukiwa mjeshi
 
Waliotaka vamiwa wote ni matajiri? Africa ndiyo bara masikini kuliko yote lakini ndiyo bara lenye vita kila kukicha. Unajiita masikini lakini una rasilimali zinazowatoa udenda mataifa kibao yaliyoendelea.

Utulivu ulionao mpaka unapata muda wa kuandika upupu wako JF haujaja kwa bahati mbaya kuna watu wanaousimamia.
Sawa yeye pia anawalipa kwa kaxi hiyo
 
Siku hizi mitandao ya kijamii ina nguvu mno, zamani ilikuwa nadra sana kusikia matamko ya JWTZ..
 
[emoji16][emoji16][emoji16].
Na namba za simu wameweka hapo.
Ruksa kuwapigia japo salamu tu
 
Hapana ilikuwa ni muhimu hyo mihimili kuchapana makonde hadharani sio Jambo dogo.
Ndo maana Samia kakaza
Yule mzee aondoke kwenye kiti
Hili sio Jambo dogo
Sio kila uzushi lazima jeshi litoe ufafanuzi...
Taarifa feki zinajulikana..
 
Binti Hasani ni taasisi imara sana ni vile tu haina malingo, zarau wala dharau kwani vyovyote vile sawa tu lugha yetu hii
 
Mambo yanabadilika kweli, siku hizi jeshi linatoa ufafanuzi? Maana kipindi cha shujaa walikuwa very manual.

Hii ni transparency spirit ya Mama Samia iko kazini
Mama anaponzwa na wema wake..hawa wapuuzi walizoea kudanganywa na kupikiwa data na kutishiwa..
 
"Habari" yoyote title ikianza na "KIMENUKA ..." hiyo ni takataka wala haihitaji ufafanuzi.
Vi blog uchwara ndio watu wajinga huwa wanaviamini na kusoma, huwezi nikuta naangalia au kusoma taarifa kwenye vi channels mshenzi eti ndio credible source.

Ila mburula wengi sasa ndio wanaamini huo upuuzi na uzushi.
 
Back
Top Bottom