Consultant
JF-Expert Member
- Jun 15, 2008
- 11,503
- 20,892
JW ya ajabu sana hii. Wanatoa press release kujibu kipa tuhuma? Majeshi ya Ulinzi huwa hayabehave namba hii
Homa ya 2025?
Homa ya 2025?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawa nao ni hopeless nowdays
Anakulavu..🙈Powa KENZY
Wana guilt conciousSio kila uzushi lazima jeshi litoe ufafanuzi...
Taarifa feki zinajulikana..
Umekosa tena umekosa sana ndugu yangu jifunze kuheshimu hao watu nami nilikua kama wewe lakini hao uliowadharau walikuja kunitoa sehemu hiyo kifo kilikua nje nje acha niishie hapa lakini ipo siku hii kauli yako itakuumiza sana moy wakoJESHI AU MGAMBO??? YAKIITWA MAJESHI NAO WANATOKA MBELE???
Umeumia Sana pole karne hii kubali critics hata ukiwa mjeshiMsumbiji inayoomba msaada SADC kwasababu huko Capo Delgado Mambo si shwari, je hiyo ni nchi tajiri? usipende kujianika kwa upumbavu ulionao.
Ona huyu juhaJESHI AU MGAMBO??? YAKIITWA MAJESHI NAO WANATOKA MBELE???
Sawa yeye pia anawalipa kwa kaxi hiyoWaliotaka vamiwa wote ni matajiri? Africa ndiyo bara masikini kuliko yote lakini ndiyo bara lenye vita kila kukicha. Unajiita masikini lakini una rasilimali zinazowatoa udenda mataifa kibao yaliyoendelea.
Utulivu ulionao mpaka unapata muda wa kuandika upupu wako JF haujaja kwa bahati mbaya kuna watu wanaousimamia.
Sio kila uzushi lazima jeshi litoe ufafanuzi...
Taarifa feki zinajulikana..
Namba Ya Simu Ya Kamanda hapo Mwisho vipi!?
Nadhani kabla ya kudharau. Atleast ungepita mafunzo yao ukamiliza. Ndio utukaneJESHI AU MGAMBO??? YAKIITWA MAJESHI NAO WANATOKA MBELE???
Channels za kipuuzi kama hizo Mwendazake alizipiga pini mnasema aliminya uhuru.
Mama anaponzwa na wema wake..hawa wapuuzi walizoea kudanganywa na kupikiwa data na kutishiwa..Mambo yanabadilika kweli, siku hizi jeshi linatoa ufafanuzi? Maana kipindi cha shujaa walikuwa very manual.
Hii ni transparency spirit ya Mama Samia iko kazini
Vi blog uchwara ndio watu wajinga huwa wanaviamini na kusoma, huwezi nikuta naangalia au kusoma taarifa kwenye vi channels mshenzi eti ndio credible source."Habari" yoyote title ikianza na "KIMENUKA ..." hiyo ni takataka wala haihitaji ufafanuzi.
Umeitwa na nani wapi?Abeee
😂😂😂😂😆😆😁Nimependa maneno ya paragraf ya mwisho,
Skumagang watakuwa wanakutana somewhere kulizanalizana na kufutana machozi
Kama radiocall hiviNamba Ya Simu Ya Kamanda hapo Mwisho vipi!?