Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
😅😅Hatuwezi poteza wanajeshi wetu kwa ujinga wa wakongo, mwenyeji anakimbia vita wewe mgeni unasubiri nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😅😅Hatuwezi poteza wanajeshi wetu kwa ujinga wa wakongo, mwenyeji anakimbia vita wewe mgeni unasubiri nini?
Ndio Maana Rwanda wakisikia mahali penye vita huwa wanatangulia mstari wa Mbele.Huu ni uwaribifu wa pesaa,mazoezi na practical waende gongo wakawachape m23 ndo kujipimaaa vizuri
Wale madikteta wanafanya hivyo kujilinda tu nothing else.Vimemo ni kawaida, Museven ana mtoto wake jeshini pale Uganda na cheo kampa, Kagame ana mtoto wake jeshini na sasa ana cheo kikubwa, kwahiyo acha hoja dhaifu muhimu anazo sifa
Ni jambo la kufikirisha kwa kweliViongozi wakisafiri wanaenda na wasanii na machawa unategemea nini hapo
Ova
MmmhAaah thubutuuu, sisi vyombo vya usalama vipo kwa ajili ya kulinda chama.
Ukiongeza kidogo kutumia akili utaelewa.kukubali kutumika na nani? na ufikiri huko unakokuita kutumika hakuna manufaa kwa rwanda?
Ndo ulipime jeshi kwenye task ile ya Congo iliyojumuisha majeshi ya nchi mbalimbali za SADC? Kwani tulikuwa na wanajeshi wangapi kule mpaka ikupe uhalali wa kuamini jeshi letu dhaifu? Punghza ujuaji kijana, huyo bwege mnayehisi ana maarifa na uwezo mkubwa kijeshi anaijua nguvu ya JWTZ na hawezi kuthubutu kutujaribu.
Pia ujue uwezo wa kijeshi unapimwa kwa mambo mengi, silaha/zana za kijeshi huja mwishoni kabisa na huwa ni siri kwa nchi nyingi za Kiafrika.
Sasa askari wetu wako wangapi kule ? yaani jeshi la DRC linakimbia mnataka askari wetu wajitoe kufa kijinga, mimi ningekuwa Rais hakuna askari wetu kwenda kule,huwezi kutetea nchi ya watu wasio jitetea wenyewe kwanza
Sasa wanasubiri nini kama wenye nchi hawaoni umuhimu wa mapambano?..kwa hiyo askari wetu nao wangekimbia?
Imeshindwa SADC sio Tanzania, acha kutulazimisha kitu ambacho hakipo, siku vita ikiwa yetu hapo unaweza kusema..tumeshindwa katika uwanja wa mapambano.
..mission tuliyotumwa kuitekeleza imefeli.
..tuangalie mapungufu yetu ni yapi, na tujisahihishe.
..Tatizo linaweza kuwa ni Amiri Jeshi Mkuu, Cdf, CoS, Dir of Mil Inteligence, CO wa operation, uhaba wa nyenzo, askari wachache, etc.
..Tumeshindwa, tunapaswa kujifunza na kujirekebisha.