matumbo
JF-Expert Member
- Jul 9, 2011
- 7,224
- 3,951
Wewe ni chanzo cha ndani. Na walio ndani, wengi ni vilaza na wamefoji vyeti.Je na wewe haumo ktk makundi hayo.Unaweza kuniambia mkurugenzi wa mawasiliano jeshini anaitwa nani?
mkuu inabidi ukapige shule,huwezi kuwazuia wasomi kuingia geshi kwa style hii..na watakuja kuwapora vyeo vyote uko.