Lucchese DeCavalcante
JF-Expert Member
- Jan 10, 2009
- 5,471
- 752
Majeshi yote (JWTZ, JKT, Magereza, Polisi, Uhamiaji na Mgambo) yamepewa standing oedr kumpigia JK na CCM pia wawahimize wanafamilia wao pamoja na ndugu na jamaa zao hii ni kwa mujibu wa rafiki yangu anayefanya kazi katika moja ya majeshi hapa nchini