JWTZ /TPDF wako imara

Hilo la mwanajeshi wala sio ishu maana kuna vidada vidogo vipo jeshini, vina miaka 22, sa kama kakutana na boda mbavu mbavu anapiga gym halafu akutane na mdada usiku ametoka kwenye sherehe na labda kapiga gambe analiwa tu.


ishu ya mahabusu kulawitiwa tena ndani ya kituo kinacholindwa?? kinafikirisha sana aisee
 
Ndo hapo aisee wanasahau huyo mwanajeshi ni mwanamke
Sent using Jamii Forums mobile app
 
nani kakuambia hizi hadisi hadisi, hadisi njoo, urongo njoo, utamu kolea kolea???
 
Hehehe, Wabongo Wana visanga lakini wanapenda kuchungulia kinachofanyika kwa jirani.
 
What did you do to Malawians - the second poorest country in Africa - who still own lake waters up to your borders?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…