Hakuna ni mazoezi yao ya kawaida mwaka huu wamerecruit vijana wengi sana katika, kada mbalimbali kwa ajili ya mafunzo na kama umezoea kupita njia hiyo utaona kuwa kunaendeshwa mafunzo ya aina mbalimbali tangu mwezi wa pili kwa hiyo nadhani ni sehemu ya kazi yao ya kawaida
Kama ningekua na uwezo hii thread ningeiondoa, inazidi kutisha watu ziadi kuliko kutaarifu. Kama watu, tena wanaoweza hata kutumia internet wanaogopa Jeshi, Je mwanakijiji wa Kasyabone ambako hata gazati halifiki atafanya nini? kama sio kutoenda kupiga kura kabisa na kujifungia ndani. Bado natoa rai mambo ya jeshi tuyapuuze tu, ili tusiitishe jamii zaidi. Lengo lao ni kutisha, na tutakapotishika tumekwisha wakuu.Mh!! Watu wanachukulia poa!!
Ngoja tusubiri tuone.