Hakuna ni mazoezi yao ya kawaida mwaka huu wamerecruit vijana wengi sana katika, kada mbalimbali kwa ajili ya mafunzo na kama umezoea kupita njia hiyo utaona kuwa kunaendeshwa mafunzo ya aina mbalimbali tangu mwezi wa pili kwa hiyo nadhani ni sehemu ya kazi yao ya kawaida