JWTZ wakanusha taarifa ya Mabeyo kuingilia suala la Spika

JWTZ wakanusha taarifa ya Mabeyo kuingilia suala la Spika

Unaonyesha hujui kitu acha ubishi wa kitoto. Kama ndio hivyo kulikuwa na haja gani ya kuwa na majeshi tofauti?

Kiapo Cha mwanajeshi ni kulinda nchi na mipaka yake, kiapo Cha polisi ni kulinda raia na Mali zao na Uhamiaji Wana kiapo Chao so kila mmoja ana kazi yake na ndio maana baadhi ya mafunzo wanatofautiana.

Tuliopita majeshini tunaelewa haya Sasa we andelea kubisha .

Mwache analeta mapuuza huyo[emoji23]
 
Mwache analeta mapuuza huyo[emoji23]
"Mapuuza" ni neno ambalo kwa mara ya kwanza nililisikia nikiwa JKT Bulombora mwaka 1992. Neno hili alikuwa anapenda sana kulitumia Cpl mmoja wa kombania yetu alikuwa anaitwa Afande Rusasi
 
Back
Top Bottom