Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sekta bado haijaimarika vya kutoshaSekta binafsi kifo cha mende
Ninyi wapumbavu ndio mnaeneza chuki za kisiasa.Huwezi kuwakuta bavicha kwenye habari mbaya kwao kama hii
Typically bavichan!Ninyi wapumbavu ndio mnaeneza chuki za kisiasa.
BavichaNinyi wapumbavu ndio mnaeneza chuki za kisiasa.
Msongo upi?au serikali kupunguza msongo upiWanasayansi hawajengwi hivyo
Watu wanaenda shule na msongo afu unategemea watafaulu
Una hakika!! Wewe ni miongoni mwao mkuu.UCHUMI PU.
SASA MZUNGUKO WA FEDHA UKWAPI HAPA. TENDA HIYO ANGEIPATA JUMA AND SONS SUPPLIERS, HELA INGEFIKA HADI KWA MAMA MUUZA GONGO.
NA NINA UHAKIKA JESHI LINAPIGA MZIGO BURE KABISA.
Fafanua wanaingiza pesa VipHii ni kazi wanafanya so inamaana ni biashara coz wanaingiza pia hela kwa hii project,.....!!
Pesa inabakia serikarini Na Serikari inakuja kufanya mambo makubwa kama haya ya VIFAA kwa maabara kwa shule zote hadi vjijini ILA ela ingeenda kwa huyo mfanyabiashara angeziweka kwenye ndoo ndani ilikuikomesha Serikari au anaenda kuwekeza nchi Jilani . Kuwa mpole ndugu Mambo mazuri sana yanakuja utayafurahia Na hayana Chama ni kwa watanzania wote.UCHUMI PU.
SASA MZUNGUKO WA FEDHA UKWAPI HAPA. TENDA HIYO ANGEIPATA JUMA AND SONS SUPPLIERS, HELA INGEFIKA HADI KWA MAMA MUUZA GONGO.
NA NINA UHAKIKA JESHI LINAPIGA MZIGO BURE KABISA.
Hapo gharama kwa serikali ni mafuta na per diems za hao askari, wangechukua watu binafsi gharama zingekuwa nyingi zaidi