Padone EPM
JF-Expert Member
- Jul 17, 2020
- 604
- 882
Yaaan hakika sio kumuamini mtu mi offer ya 3m ipo ila sitajaribu kumpa mtu ata laki Moja.. mtu akimaliza mambo tu ya kuitwa na dogo akakuta Kweli yupo kwenye list nampa 1.5m then akipita kwenye usaili namalizia 1.5m jamanii jamanii PAY AFTER WINsasa wewe ndio umeongea KIKUBWA maumivu haya hata mimi yalinikuta mpaka sasa siamini mtu yoyote
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Hilo donge nono ulivyo bandika hapa hope huko dm njema zimekuja za kutoshaYaaan hakika sio kumuamini mtu mi offer ya 3m ipo ila sitajaribu kumpa mtu ata laki Moja.. mtu akimaliza mambo tu ya kuitwa na dogo akakuta Kweli yupo kwenye list nampa 1.5m then akipita kwenye usaili namalizia 1.5m jamanii jamanii PAY AFTER WIN
Ngoja tuone maana wandewa wametuambia mwez huu wa 10, maana kila mwanzo wa mwez wandewa wanacheza na akil zetu utawasikia tuu na kaul zao za kishujaa huu mwez uwakikaWanangu wa majeshi komaeni wangine tumeomba mpaka age imetutupa mkono.
Hahaha huu mwezi ni uhakikaNgoja tuone maana wandewa wametuambia mwez huu wa 10, maana kila mwanzo wa mwez wandewa wanacheza na akil zetu utawasikia tuu na kaul zao za kishujaa huu mwez uwakika
Ata wakija Dm wajue tu ni PAY AFTER WIN Mpaka Sasa nimetumia pesa zaidi ya hiyo ila hakuna nilichopata hivo basi asije mtu dm akazan atapata hela yyte mpaka kazi ikamilikeHilo donge nono ulivyo bandika hapa hope huko dm njema zimekuja za kutosha
Kwaiyo izo zingine ulizo tuma umetoa sadaka ndugu yangu au utaitaj urudishiwe?[emoji3][emoji3][emoji1][emoji1][emoji16][emoji16]Ata wakija Dm wajue tu ni PAY AFTER WIN Mpaka Sasa nimetumia pesa zaidi ya hiyo ila hakuna nilichopata hivo basi asije mtu dm akazan atapata hela yyte mpaka kazi ikamilike
Mambo tayar ndugu yangu hata mim kuna wanazengwe wamenitonya leo asubuhiKuna shem wangu yupo JWTZ kanipigia ananiuliza kama vyeti vyangu vipo sawa.
Vipi wakuu bado muda unaruhusu?
Amekuambiaje mkuu?Mambo tayar ndugu yangu hata mim kuna wanazengwe wamenitonya leo asubuhi
Nimetoa sadaka uzuri namiliki hela za manyoka aliehusika kula nae katika uzao wake atatoa sadaka mtoto mmojaKwaiyo izo zingine ulizo tuma umetoa sadaka ndugu yangu au utaitaj urudishiwe?[emoji3][emoji3][emoji1][emoji1][emoji16][emoji16]
πππ ni hatareeNani akaripoti Dadeqiii hii inaitwa sugunyoo Ukiitwa kama umeitwa na usipoitwa kama umeitwa tu... Sema nin mwenye nacho ataongezewa...
Mwezi bado mbichi huuππNawasalim vijana na kuwakumbusha huu ni mwenz wa 10 jina la Bwana liimidiwe.....
kwamba nae kwa namna moja ama nyngne kashajiunga kwenye system lazima aje kulia siku moja[emoji28][emoji28]Nimetoa sadaka uzuri namiliki hela za manyoka aliehusika kula nae katika uzao wake atatoa sadaka mtoto mmoja
Yaaan hiyo ni uhakika atakuja toa ushuhuda humu humu Jf kabla mwaka hujaisha kwa maana huu ni upumbavu mtu nampa offer nzuri ananitapelikwamba nae kwa namna moja ama nyngne kashajiunga kwenye system lazima aje kulia siku moja[emoji28][emoji28]
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Orjoromwenye na ronja wapi wataanza ripoti kati ya msata na oljoro naomba jamani?
Nimecheka sana ndugu yangu ila pole sanaYaaan hiyo ni uhakika atakuja toa ushuhuda humu humu Jf kabla mwaka hujaisha kwa maana huu ni upumbavu mtu nampa offer nzuri ananitapeli
Wanaanza msata kakamwenye na ronja wapi wataanza ripoti kati ya msata na oljoro naomba jamani?