JWTZ yatangaza nafasi za kazi kwa vijana wenye mafunzo ya JKT

JWTZ yatangaza nafasi za kazi kwa vijana wenye mafunzo ya JKT

sasa wewe ndio umeongea KIKUBWA maumivu haya hata mimi yalinikuta mpaka sasa siamini mtu yoyote

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Yaaan hakika sio kumuamini mtu mi offer ya 3m ipo ila sitajaribu kumpa mtu ata laki Moja.. mtu akimaliza mambo tu ya kuitwa na dogo akakuta Kweli yupo kwenye list nampa 1.5m then akipita kwenye usaili namalizia 1.5m jamanii jamanii PAY AFTER WIN
 
Yaaan hakika sio kumuamini mtu mi offer ya 3m ipo ila sitajaribu kumpa mtu ata laki Moja.. mtu akimaliza mambo tu ya kuitwa na dogo akakuta Kweli yupo kwenye list nampa 1.5m then akipita kwenye usaili namalizia 1.5m jamanii jamanii PAY AFTER WIN
Hilo donge nono ulivyo bandika hapa hope huko dm njema zimekuja za kutosha
 
Wanangu wa majeshi komaeni wangine tumeomba mpaka age imetutupa mkono.
Ngoja tuone maana wandewa wametuambia mwez huu wa 10, maana kila mwanzo wa mwez wandewa wanacheza na akil zetu utawasikia tuu na kaul zao za kishujaa huu mwez uwakika
 
Back
Top Bottom