JWTZ yatangaza nafasi za kazi kwa vijana wenye mafunzo ya JKT

"Nnacho jua form 6 wameenza kuitwa ikitokea kuitajika kwa 4m4 wataitwa"

Mwisho wa kunukuu
Form 6 au wale wa chuo unaowazungumzia wewe hilo litakuwa ni kundi la 8 maalumu kaka lakini kuna kundi la 43 hilo ni mchanganyiko humo kuna degree takers mpaka wa form four na ndio hao walioomba mwezi March.
 
kwahiyo ina maana wale walioomba march bado wapo kwenye mkakati? au ni siasa tuu za jeshi letu kama kawaida
We acha tu mkuu maana wale wa March bado hawajaitwa hao waliomaliza waliomba mwaka jana na ndio kundi la 42, wale wa mwezi March inabidi liwe kundi la 43 ndio mpaka sasa kozi haijaanza ni siasa juu ya siasa, hivyo kwa aliyeomba mwezi March atulie asikilizie bado hawajaanza kozi.
 
Zamani ilikuwa inatengenezwa vita halafu nafasi zinatangazwa kwa maelfu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…