Konda wa bodaboda
JF-Expert Member
- Jul 18, 2014
- 7,981
- 4,170
Muacheni bosslady mpya wa africa mashariki... ivi mke wa mengi yuko wapi jaman? Anavumilia yote haya? Pole yake[/
Aisee!!!!!!!!!
Mbona unaweweseka mpwa? Mimi ndo nimetaja akina Dewji na Bakhresa! By the way, hivi wewe ulizungumzia ustaa au ulizungumzia kuolewa na tajiri? Ikiwa umesahau ulichaondika, rejea:
Kwahiyo, kigezo chako ni mtu kuolewa na tajiri ndipo anaitwa Bossylady, againa, warumu huyu hapa:Acha kuruka ruka mpwa, umechemka!
Ngoja nikuulize swali moja Hivi unafikiri watu hatuwezi kutukana, au?Wee jamaa vp??? Unadhani kumshabikia ndomo ndo umefika au? Kwa taarifa yako mm nilikuwa napenda nyimbo za ndomo vibaya mno kura nilimpigia na nyimbo zake nyingi ninazo ila baada ya 'my number one'kapotea kutoka kwenye site yangu. Kiba ni mwanamuziki ana sauti nzuri na ndo maana nyimbo zake hazichoshi! Then jiangalie sana! Entertainment industry unajua wewe? Endelea kushabikia watu ----- wew! Naona unakomaa na entertainment entertainment!
Kwenye thread yako umesema mastaa? Unaonaje basi uki-edit thread yako kisha tujikite kwenye u-boss lady peke yake?Nazungumzia mastaa waliolewa na matajiri, hao akina mke wa dewji sijui mengi unawajua wewe, mimi siwajui na kwenye udaku wangu sina pa kuwatumia
Khaaaaa!Sasa hapo imagine mzee yupo hai, akianguka je? Si hatari hii jamani.K-Lyn achange karata zake vizuri,shauri zake.
Mwezie Jokate naona alipiga hesabu akaona huu mziki hauwezi akaachia ngazi mapema.
Wameshakuwa mwili mmoja, mali zote zitakazopatikana kuanzia sasa ni za k -lyn na mengi achilia mali walizochuma na mke wake, hakika jack kabarikiwa kuliko wanawake wote africa mashariki, wakina mwafulan ndo mtulie muache umalaya maana mmezidi wenzenu hao mabilionea
Bold black: Hii taarifa imekaa kimbea na kinafiki sana na haina ukweli wowote.
FYI: Tajiri namba moja nchini Tanzania ni Mohammed Dewji. Mengi ni tajiri namba 4.
Ujue Jack angekua mke wa kwanza kwa Mengi wala nisingepingana na wewe hapa warumi ila inabidi atumie akili sana.
Ahakikishe kua kama ni nyumba awe na risiti yeye tena zenye majina ya wanae na yeye pia na biashara vile vile awe na share zake au umiliki wa 100%.
Usimkatishe tamaa mwenzio bhana, jokate umalaya wake ndo umemponza..
Ivi binamu ninavyojua watu hufunga ndoa kwenye makanisa wanayosali, sasa akina mengi naona wamefunga ndoa Mauritius sijui, ina maana ndo walikuwa wanasali uko? au ndo hayatuhusu au mambo ya fedha? Nisaidie labda mie mshamba ivoo
Yani wanawake mnawaza mali tu ndo mana siku hatutaki kuwaoa,yani akili zote zipo kwenye mali.yani nikijua ndo akili yako tunaanza kupanga nyumba na ninakuambia tuaNze upya kabisa yani ndo sh ianzwe kutafuta.
Nyie ndo hamkawahii kuwashauri wenzenu watupe limbwata na yule ni mhaya lazima ampe kitu myoke.
Awev na share kwani kawekamo mtaji wa sh.ngapi; tena ukija kwangu unaanza kuulizia risiti nakuuliza kuwa umezijenga.hiyo share ya biashara unaambiwa ni ya ukoo mie ndo mwenyekiti na haina mahusiano namie.inashughulikia matatizo ya ukoo wetu.
Yani umemkuta mme anazo ghorofa zake afu uanze kuulizia kodi zake zinaenda wapi.
Ww umeolewa na umempenda mwanaume au umefuata mali.
Yani nyie ni bidhaa umekuwa.na ikiwa na ivyo nina uwezo wa kugawa malli zangu afu ndo tupange ya matope.nyie ndo mkichumbiwa eti unafanya kazi gani ww mwemyewe hauna mbele wala nyuma.
Umeniboa ww mwanamke yani ww ,umeniboaje ndo utamshauri amuue mzee wa watu ili azitumie vizuri kwani hamuui wanaume ili utajiri wake uende kwenu na ndo mana ndugu wa mme wakija unavimbaje hapo ndani wewe unataka wa kwenu ndo wajazane hapo mnakuwa kama amekuoa ww na ukoo wenu
Hahahaaa,ujue imenidi nicheke tu maana umemwaga povu sio kidogo.
Hivi wewe kwa akili zako unaona K-Lyn kafuata nini kwa yule mzee? Ana mapenzi gani ya ajabu sana hadi aamue kutulia naye hadi kuzaa na kuolewa naye kabisa?
Huo ndio ukweli kwenye pesa ndipo watoto wazuri wanakotulia.Wewe mwaga povu lako hapa utajijua mwenyewe.
Namie imebidi nicheke kwa jinsi ulivyonijibu simple sana afu kwa uwazi afu hauna stress imebidi unichekeshe so cmwagi povu saivi.
I declare kwa jibu hilo nimekupenda mana namie umenifanya nicheke kwanza.
Hahhhahaaaaaaaaaaa