Ego is the Enemy
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 8,201
- 16,246
Hahahaaa, keisangora bwana? Umenichekesha na kunifurahisha sana.
Ila nina uhakika jibu la pili hutolipenda...lol
Ila naona hukunielewa nilikua namaanisha nini tokea mwanzo.Hivi wewe utapenda kua na mwanamke ambaye hajishughulishi kisa wewe una mali?
Hapana kwanza ni hatari kwa wanangu maisha yao.nisipoenda shamba watt hawali,hawaendi shule na kuvaa vizuri na kupata standard lishe
Mpaka hapa tupo pamoja.
Peace...have a good day.
Kuna siku nasikia alimkuta kwenye nyumba yake alimpiga vibao huyo hatari...machache akaona isiwe case akampangia apartment masaki anayoishi hadi leo
Wameshakuwa mwili mmoja, mali zote zitakazopatikana kuanzia sasa ni za k -lyn na mengi achilia mali walizochuma na mke wake, hakika jack kabarikiwa kuliko wanawake wote africa mashariki, wakina mwafulan ndo mtulie muache umalaya maana mmezidi wenzenu hao mabilionea
Miss Tanzania wa mwaka 2000 na mwanamuziki wa bongo fleva, jackline ntuyabaliwe aka k- lyn hatimaye amekuwa mke mke rasmi wa mfanyabiashara maarufu na TAJIRI nambar moja nchini, Reginald mengi baada ya kufunga ndoa iliyohudhiriwa na mastaa mbali mbali wa nchini ufaransa na Tanzania.
Kama ilivyo ada kwa mke wa raisi kuitwa "FIRST LADY vivyo hivyo kwa mke wa tajiri jina hubadilika na kuwa "BOSSLADY ". Kutokana na hali hiyo kuanzia sasa k-lyn anakuwa ndiye raisi wa ma bosslady wote afrika mashariki kutokana na pesa aliyonayo mumewe mzee reginald mengi.
Awali kabla ya k-lyn kutwaa wadhifa huo, mwanamuziki na mfanyabiashara toka uganda ambaye ni mpenzi wa mwanamuziki nguli wa bongo fleva diamond platnumz, zarinah hussein aka zari aliaminika ndiye anayeongoza kwa pesa kwa mastaa Africa mashariki. Kwa sasa hali imebadilika na taji hilo kuelekea kwa mwana mama mrembo K -lyn.
hivi hamna vyakuandika vya maana zaidi ya hivi
umepaniki ms lincoln
Mimi nawashangaa watu ambao mnatuponda wachangiaji wa hili jukwaa while in realsense na nyie hizi habari za kidaku mnazifurahia kimtindo😕
Hivi mume akiwa tajiri na mke naye anakua tajiri automatically?Zari ni tajiri maana ana biashara zake na hata zile za mumewe ana share yake kwa ninavyosikia.Huyo K-Lyn achakarike naye apate share au biashara zake.Asijibweteke kisa kazaa na mzee Mengi.
Yaan klyn mpaka leo kapangishiwa au??? Sijaelewaaa ●●●●●●♧