K-Lyinn amfunga mdomo Zari kwa Pesa

K-Lyinn amfunga mdomo Zari kwa Pesa

Hahahaaa, keisangora bwana? Umenichekesha na kunifurahisha sana.
Ila nina uhakika jibu la pili hutolipenda...lol
Ila naona hukunielewa nilikua namaanisha nini tokea mwanzo.Hivi wewe utapenda kua na mwanamke ambaye hajishughulishi kisa wewe una mali?

Hapana kwanza ni hatari kwa wanangu maisha yao.nisipoenda shamba watt hawali,hawaendi shule na kuvaa vizuri na kupata standard lishe
 
Last edited by a moderator:
Hapana kwanza ni hatari kwa wanangu maisha yao.nisipoenda shamba watt hawali,hawaendi shule na kuvaa vizuri na kupata standard lishe

Mpaka hapa tupo pamoja.
Peace...have a good day.
 
Mna wivu humu ebu tafuteni mkwanja kwanza watoto wazuri ni wapo tu mbele ya hela
 
Huyo Jacq amekuwa mke wa pili na TZ haitambui ndoa yao sababu bado kaoana na Mke wake ambae ndie mke halali wengine wote pembeni ni vimada.

Mbona hakufungia TZ basi angejaribu angekomaje.

Pesa ziko chinibya Mke the Mrs na watoto wake huyo hana say kwenye pesa za Mengi hata biashara....labda kwa kaxi ya wanawake wote wanaofanya na wanaume wawe maskini au matajiri.

So ongea jingine... Zari yeye hajaolewa na mume wa mtu.
 
Warumi anawashwa kutafuta mtu wa kumshusha Zari utazani kawa famous jana.

Sasa ndio nini kuwaingiza walioolewa na mababu na kuringanisha na Zari? Mmeshindwa kumfananishabtimu michirizi bosi mkakimbilia kwa wengine kisa....wivu.

Acheni kukuza majambo wakati Zari hana muda na nyie...anajua anaongelewa na hongera kwa kumpa kiki na inazidi kupanda.
 
Kuna siku nasikia alimkuta kwenye nyumba yake alimpiga vibao huyo hatari...machache akaona isiwe case akampangia apartment masaki anayoishi hadi leo

Yaan klyn mpaka leo kapangishiwa au??? Sijaelewaaa ●●●●●●♧
 
Wameshakuwa mwili mmoja, mali zote zitakazopatikana kuanzia sasa ni za k -lyn na mengi achilia mali walizochuma na mke wake, hakika jack kabarikiwa kuliko wanawake wote africa mashariki, wakina mwafulan ndo mtulie muache umalaya maana mmezidi wenzenu hao mabilionea

Aaargh binamu! Unalipwa nini, uyo Klynn unavompamba unataka mpaka tujione mafinyefinye, mfyuu zako!
 
Kama namuona Dinazarde anavyotamani kuwa mbeba mapochi wa k lyn, sema binamu yangu yule kwa umbea, ataharibu ndoa ya watu..

Klyn wakomeshe mtaa wa nne

Mmmhhhh heloooooooo
 
Last edited by a moderator:
Miss Tanzania wa mwaka 2000 na mwanamuziki wa bongo fleva, jackline ntuyabaliwe aka k- lyn hatimaye amekuwa mke mke rasmi wa mfanyabiashara maarufu na TAJIRI nambar moja nchini, Reginald mengi baada ya kufunga ndoa iliyohudhiriwa na mastaa mbali mbali wa nchini ufaransa na Tanzania.

Kama ilivyo ada kwa mke wa raisi kuitwa "FIRST LADY vivyo hivyo kwa mke wa tajiri jina hubadilika na kuwa "BOSSLADY ". Kutokana na hali hiyo kuanzia sasa k-lyn anakuwa ndiye raisi wa ma bosslady wote afrika mashariki kutokana na pesa aliyonayo mumewe mzee reginald mengi.

Awali kabla ya k-lyn kutwaa wadhifa huo, mwanamuziki na mfanyabiashara toka uganda ambaye ni mpenzi wa mwanamuziki nguli wa bongo fleva diamond platnumz, zarinah hussein aka zari aliaminika ndiye anayeongoza kwa pesa kwa mastaa Africa mashariki. Kwa sasa hali imebadilika na taji hilo kuelekea kwa mwana mama mrembo K -lyn.

Mkuu BOSSLADY ya Zari ina maana tofauti na unachokiandika hapa. Zari ya kwake inamaanisha "BUILT ON SELF SUCCESS LADY - BOSSLADY" Sasa sijui kama huyo K-Lyn ni BOSSLADY ya Zari. Na utofauti mwingine ni kwamba K-Lyn kashobokea kibabu ili arithi utajiri wa babu lakini Zari kamshobokea Diamond asiyekuwa na utajiri wa kuweza kumvutia au kumpita Zari. Halafu Zari hashobokei matajiri ndio maana haangaiki kurudiana na Ivan pamoja na utajiri alionao Ivan.
 
Hivi mume akiwa tajiri na mke naye anakua tajiri automatically?Zari ni tajiri maana ana biashara zake na hata zile za mumewe ana share yake kwa ninavyosikia.Huyo K-Lyn achakarike naye apate share au biashara zake.Asijibweteke kisa kazaa na mzee Mengi.

Nmekupenda buree
 
Back
Top Bottom