K-Lyinn amfunga mdomo Zari kwa Pesa

K-Lyinn amfunga mdomo Zari kwa Pesa

muanzisha thread umeropoka..

1.mengi sio Tajiri namba moja tz Fanya research
2.k-lyn kabanwa kwenye kujiachia maana hela sio yake
lakini zari anatanua sana ana gari nyingi za kifahari
ambazo hata klyn hana kwa sasa...

zari ni boss ..built of self success anafanya atakacho
 
muanzisha thread umeropoka..

1.mengi sio Tajiri namba moja tz Fanya research
2.k-lyn kabanwa kwenye kujiachia maana hela sio yake
lakini zari anatanua sana ana gari nyingi za kifahari
ambazo hata klyn hana kwa sasa...

zari ni boss ..built of self success anafanya atakacho

Anzisha thread na wewe tuone sio unaarisha upuuzi wako apa kama umekunywa uharo
 
Hata mengi nae sio mjinga, k lyn atakua na fungu lake zuri tu na mpacha wake, jaman watu wana bahati nyie sijawahi kuona, mungu ambariki kwa kweli

Watu na nyota zao bidada, hebu jaribu kuomba urafika kwa the boss lady walau akuambukize nyota yake :smile-big:
 
Miss Tanzania wa mwaka 2000 na mwanamuziki wa bongo fleva, Jackline Ntuyabaliwe aka K- Lyn hatimaye amekuwa mke mke rasmi wa mfanyabiashara maarufu na TAJIRI namba moja nchini, Reginald Mengi baada ya kufunga ndoa iliyohudhiriwa na mastaa mbali mbali wa nchini ufaransa na Tanzania.

Kama ilivyo ada kwa mke wa Rais kuitwa "FIRST LADY vivyo hivyo kwa mke wa tajiri jina hubadilika na kuwa "BOSSLADY ". Kutokana na hali hiyo kuanzia sasa K-Lyn anakuwa ndiye Rais wa ma Bosslady wote Afrika Mashariki kutokana na pesa aliyonayo mumewe mzee Reginald Mengi.

Awali kabla ya K-Lyn kutwaa wadhifa huo, mwanamuziki na mfanyabiashara toka Uganda ambaye ni mpenzi wa mwanamuziki nguli wa bongo fleva Diamond Platnumz, Zarinah Hussein aka Zari aliaminika ndiye anayeongoza kwa pesa kwa mastaa Africa Mashariki. Kwa sasa hali imebadilika na taji hilo kuelekea kwa mwana mama mrembo K -Lyn.

kwanza,fanya tafiti kuthinitisha kuwa mengi ni tajiri namba moja.
 
kuropoka ni kuongea bila ushahidi,,,, and I think I am right unless utupe evidence meng ndo tajir no.1

Kaa na upumbavu wako ----- wewe, umezoea kukariri maisha, whether awe tajir namba mbili au kumi i still count him as millionaire, hutak kajambe uko kwenu
 
Watu na nyota zao bidada, hebu jaribu kuomba urafika kwa the boss lady walau akuambukize nyota yake :smile-big:

He hivi kumbe huyu warumi ambaye nimekuwa nikimsoma hapa kumbe ni mwanamke???
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom