K-Lyinn azindua duka la kifahari nchini - Amorette

Katimiza msemo tukiwezeshwa tunaweza...angefungua kabla ya kuwa na babu ningempata big up ila kwa hili tunafundisha mabinti kuwa whore ...I ain't saying she a gold digger
But she ain't messin with no Broke niggas... Kanye west
Halafu hao mashoga karibia wote wamedate /kuvunja ndoa za wanawake wenzao isipokuwa FRAJA NYALANDU, lakini wanasifiwa kwa kuwa wamechukua wanaume wenye pesa na ku act.. kisomi, ila ukweli wote ni waibaji wa waume kama kina wema sepetu tu tofauti ni class ya wanaume.
 
Ngekewa hiyoo!!

Kadanga sana pale Kilimanjaro[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji40] [emoji40] [emoji40] [emoji40]
Sana halafu alikuwa haendi kama anadanga, anaenda na ma file na kujifanya yuko busy na luch anawahi shughli ya kibiashara kumbe hamna lolote file zilikuwa na karatasi za kuandikia mashairi ya bongo fleva, na wala hana elimu ya chuo kikuu alikuwa mwanamuziki wa bendi akajiongeza kuimba bongo fleva eti leo anaitwa msomi, kisa katulia na Mengi?! mjini vituko viko vingi jamani.
 
Umeona eeeehhh!!!

Ila sasa anaonekana shujaa!

Tena Nancy Luca katoka hadi na Nakaaya...

Angekua Wema hapo!

Ndo maana nasema hata gigy money akipata danga la maana ataitea madame na watamsifia!
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] form four failure

Kama wengine kina wema!!

Sema ndo kwa kua anapedeshee na alovyompata kajibebesha mimba fastaa

Zee lile angelipta wema wangesema gold digger!!!

Kweli duniani kila mtu na bahati yake!
 
Umeona eeeehhh!!!

Ila sasa anaonekana shujaa!

Tena Nancy Luca katoka hadi na Nakaaya...

Angekua Wema hapo!

Ndo maana nasema hata gigy money akipata danga la maana ataitea madame na watamsifia!
Kwahiyo huyo Luca kawagonga wote mtu na dada yake nielewesheni?
 
hongera! ila amefungua hii biashara hapa tz kipindi kigumu sana..mana vitu kama hizi kwa 80% hununuliwa na pesa magumashi sasa daah huu mziki wakusomeshana namba kweli tutamudu hizi bidhaa
 
Katika warembo wenzie wenyeheshima kuzindua ofisi yake,ila wakati mwingine shule inasaidia kukimbizana na umaarufu
Well said mkuu!
Kina Wema type wamebakia kuuza sura mjini na kubadilisha wanaume kama wanavyobadilisha nguo ya ndani!
 
Ila mapenzi hamjui, mpaka mkurupushwe ndyo mnakatika baraha
Mapenzi yanaleta chakula mezani, yanajenga nyumba, yana somesha watoto shule? Acha hiyo kapsa walahi! Nani anataka ulemavu? Duh! MIMI HIYO I WILL PASS IT OVER!
 
Haa haa haa...mwasu unamjua vizuri le madam, three times my bro ananiita pale kempinski nikavizie buffet lao ( manake alikuwa food & beverage manager) namkuta pale na kibriefcase kidogo cheusi utaona anachomoa laptop na karatasi anaandika andika huku anang'aa ng'aa macho huku na kule ila sie wajanja unajua mchezo na ishu zingine tu siwezi sema zote...ukiongea hapa unaonekana una wivu na chuki[emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124]
 
Kwahiyo huyo Luca kawagonga wote mtu na dada yake nielewesheni?
Eeehh!!Ila Nancy kambeba jumla ndo maana walikua hawaelewani na yule baba alikua na mke na watoto wawili

Halafu ni ndoa kabisa ya church Ila Nancy nae kafunga ndoa ya church tena![emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Hahaaa atabakia tu kuwa X wako maana hakuiona Future (asingetoka kimaisha) kama angendelea kuwa nawe!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Eeehh!!Ila Nancy kambeba jumla ndo maana walikua hawaelewani na yule baba alikua na mke na watoto wawili

Halafu ni ndoa kabisa ya church Ila Nancy nae kafunga ndoa ya church tena![emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Hapo nimekupata vizuri ndugu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…