Mwasu uko full documented...nimekukubali. Kudos[emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji106] [emoji12]Nifah mpenzi upo wapi? Mzima lakini nakusalimia tu.
Kumbe lilukua jiwe gizani hili?"Wanatoroka na wazungu ,wanamegwa na vibabu...wanaiba wanaume Wa wenzao USO mkavu hawana aibu..." -MwanaFA
Bado niponipo sana [emoji3]
😀😀😀😀😀 jf bhanaa mbavu zangu mieWaliachana mke alikuwa mtata yule mama dah iko siku alimfukuza mzee akatoka nduki akaruka ukuta wa nyumba hata geti hakuliona.
Kuwa na ndoa halali bahati ukiona unakimbiwa mpaka na mzungu basi jiulize maana wale ndio zoazoa.Duuh duuh..nilidhani ana mzungu coz namuonaga na watoto wawili mmoja shombe na mwingine black asa nikawa sielewi which and which...kumbe ndo maana kapoa asee....ktk group lao Faraja ndo hana kesi ya kuiba Mme wa mtu, lakini wengine wote ni Nyaku nyakus ( in zari's voice)
Mwasu uko full documented...nimekukubali. Kudos[emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji106] [emoji12][/QUOTEHaahaaaa, nacheka mie, acha tuyajue yao wanajifanya matawi kumbe nyoko tu, wakiona mtu na mkewe hotelini roho zinawatoka kwa kuwa wao ni nyakunyaku kutwa outing na watoto kumbe baba zao wako na wake zao halafu eti ndio kina mademe, mfyuuuu.
Tafuta uzi humu unaongelea ndoa za mengi...huyu ni 3 km sikoseiHili jambo nami hujiuliza sana, Mengi alikua hakufunga ndoa au more money less masharti ya kiimani n vice versa?
Huyo Irene kiwia ni mzuri sana hivi naye kaolewa na mzungu?Toka Nancy awe shost wa Jack...Irene Kiwia kama katengwa hivii simuoni na Nancy tena na walikuwa pika nipakue
HajawadharauNakubaliana nawe ,kawadharau kina wema, jokate, wolper , aunt , lulu n.k ,
Miss uYupo mkuu mengi alishawahi Kuoa na Ana watoto wawil mmoja kafa mmoja yupo hai
HaahaaaHabari zao mpaka Ununue Business Times,The Guardian utawakuta kwenye economic Forums..........sasa wewe ukijiloga ukanunua ''Wikienda''.......Ni Habari za ............. na vigodoro.
We unamtaka mke wake wa kwanza wa nn? Umbea tu, sisi tunamjua k Lynn wengine tupa kule
Yupo huko MachameKwani nani kabisha kuwa siyo mke wake halali? Mke wake wa kwanza yuko wapi?
Si alienda kumfumania? Mzee alikuwa amekamatia haswa kwenye bar maarufu mnafiki akampigia simu wife wake ni pande za......dah niishie hapo coz nimekuwa boonge la mbea.Waliachana mke alikuwa mtata yule mama dah iko siku alimfukuza mzee akatoka nduki akaruka ukuta wa nyumba hata geti hakuliona.
Hata kwenye harusi yake ilikuwa hivyo halafu very simple.Sasa angewaita kina shilole unadhani?
Lazima waende watu wa class flani hvi
ElimuI think i totally agree with you shule ndio kila kitu yaan .... And nafikiri she has passion with interior designing that's why she came up with that spectacular idea of selling furniture and interior decors..... Shule shule ndio mambo yote.....
ndio mkuu hakuwa na zile skondo zilizokidhiri.. hizi za chinichini kibinadamu hazikosekani, hapa tunazungumzia ile iliyokidhiri mpaka mji mzima unakunyooshea kidoleNancy hakuna na nyota ya nini?.....ha ha ha labda huyo Hoyce ndo sijui ishu zake
Yupo Dar siku hizi ni msanii yupo kwenye tamthilia ya siri ya mtungi.Hivi richa adhia yuko wapi yule muhindi
Matatizo ya Wema ni cheap publicity ndiyo inamcost.[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] form four failure
Kama wengine kina wema!!
Sema ndo kwa kua anapedeshee na alovyompata kajibebesha mimba fastaa
Zee lile angelipta wema wangesema gold digger!!!
Kweli duniani kila mtu na bahati yake!