Hapo sawa mkuu nimekusoma...hazijakithiri kweli ila utofauti wake ni kuwa Nancy ni msiri sana while wema ni public hilo tuu...ndio mkuu hakuwa na zile skondo zilizokidhiri.. hizi za chinichini kibinadamu hazikosekani, hapa tunazungumzia ile iliyokidhiri mpaka mji mzima unakunyooshea kidole
Sure... mzungu ni never mind na hataki kujua mambo yako...bishost labda alijipeleka mzungu hakumfeel kivileee... Fina Mango kala bingo na mzungu wake...Kuwa na ndoa halali bahati ukiona unakimbiwa mpaka na mzungu basi jiulize maana wale ndio zoazoa.
Yap yule mmoja si aliacha ndoa na mtoto wa Sheikh Yahya na sasa ni mke wa Prof. wa Muhimbili.Wale wote wadada wa fursa tena Sema wametulia walivyopata mabwana wa maana
year real nimekupata kidogoo witness but wema ni public na kazidishisha na nancy ni msiri ila hajazidisha.. wema ameshindiliwa mavitu mengi sana sio kama huyo nacy lolHapo sawa mkuu nimekusoma...hazijakithiri kweli ila utofauti wako ni kuwa Nancy ni msiri sana while wema ni public hilo tuu...
Hahaha!Tatzo kiziwi unaona tu nakutaman lkn husikii
Ni kweli kuna vitu anafanya Wema unaona kabisa she is not well nurtured, mamatatizo hapendi kukosolewa.Yaani liwema linaniboaga hadi basi, hivi we kile kiidrisa ni cha kumpanulia liharage lake kweli?!?[emoji15] [emoji15] ....ukikutana nacho kina mambo ya kitoto toto halafu kishamba flani hivi amazing!!!... Nikajisemea khaa wema anayaweza asee...
Watu wamepiga wakasepaWema kama kweli kapata bilionea Arusha atulie nae tu ale maisha aachane na usanii afanye kazi alizosomea shuleni
mke mdogo wa profesa, sio mke wa kwanza.Yap yule mmoja si aliacha ndoa na mtoto wa Sheikh Yahya na sasa ni mke wa Prof. wa Muhimbili.
True...mi nilivyokutana na kiidrisa live na mwenzake wanaongea utoto utoto na michezo ya kufinyana, nikamuimagine na wema alivyo, na anavyomfunulia liharage lake...toka cku hiyo nilimnawa asee, she 's so cheap and worthlessness[emoji31] [emoji31] [emoji31]year real nimekupata kidogoo witness but wema ni public na kazidishisha na nancy ni msiri ila hajazidisha.. wema ameshindiliwa mavitu mengi sana sio kama huyo nacy lol
KhaaaaUna uhakika?wa kwanza mama yupi?Mama Rodney...yupo hi mpk sasa hivi?!!..
Mwanawe Rodney ndo alikufa
Mengi alioa mwanamke wa huko Machame ila alikuwa dizain flan mkali na anamfuatilia Mzee sana na walikuwa na watoto watatu:-Mke wa kwanza wa Mengi yupo wapi?au alikuwa bado hajaoa!
kweli maisha ni kizungumkuti.. kila mtu anajichagulia lililo bora kwake japo kuna maisha bora in general kibinadamu yanayokubalika katika jamii, but kama hayo masha ni starehe kwao tuwaache tuu coz mtu kama wema ukimuweka sehemu tulivu na akipata mwanaume mstaarabu hawezi kuishi nae.. hata umpe mradi wa ma-bilioni hawezi kufanya.. analopenda yeye ni starehe na kuonekana kwenye media.. tumuache na maisha yake tuuTrue...mi nilivyokutana na kiidrisa live na mwenzake wanaongea utoto utoto na michezo ya kufinyana, nikamuimagine na wema alivyo, na anavyomfunulia liharage lake...toka cku hiyo nilimnawa asee, she 's so cheap and worthlessness[emoji31] [emoji31] [emoji31]
Hili jambo nami hujiuliza sana, Mengi alikua hakufunga ndoa au more money less masharti ya kiimani n vice versa?
Hahahaha nime muimagine Mengi akiparamia ukuta, sijui alikua na bukta!Waliachana mke alikuwa mtata yule mama dah iko siku alimfukuza mzee akatoka nduki akaruka ukuta wa nyumba hata geti hakuliona.
Kwanini wewe usianzishe?-->>NI VYEMA ANGEANZISHA TAASISI YA KIFEDHA YA UKOPESHAJI,UKIZINGATIA HALI YA SASA NI NGUMU KWA KILA MTU./ AU AANZISHE A LARGER BONDS FACILITIES" KAMA ULAYA WITH A HUGE GODOWN./
Duhh hili picha lilikuwa la aina yake. Mzee aliruka ukuta!!?Waliachana mke alikuwa mtata yule mama dah iko siku alimfukuza mzee akatoka nduki akaruka ukuta wa nyumba hata geti hakuliona.
Maneno ya mkosaji haya!Pole kama unaumia kuhusu ndoa ya mzee Mengi na K-lyn na watu wanavyowasifuNyinyi mnaomuonea wivu Klyn hamjui tu mwenzenu anayopitia, katika umri huo kwanza wazee wengi wako kwenye regular medications, kwahiyo bibie lazima ahakikishe kuna glass ya maji pembeni mzee asisahau kunywa dawa. Inabidi ujifunze kubadilisha catheter bag, haki ya ndoa mwenzako anaona unamuonea/kumsumbua wakati wewe ndiyo uko kwenye peak time. Hakuna bure rahisi.
HAYO NI MAMBO YA NDANI YA MTU(KIFAMILIA),Duniani kuna msamiati TALAKA na hutumika panapofaa.
Zile mbumbu zao zinapiga kazi daladala cha mtoto
Habari zao mpaka Ununue Business Times,The Guardian utawakuta kwenye economic Forums..........sasa wewe ukijiloga ukanunua ''Wikienda''.......Ni Habari za ............. na vigodoro.
We unamtaka mke wake wa kwanza wa nn? Umbea tu, sisi tunamjua k Lynn wengine tupa kule
Aaaah jaman wewe ni mchokozi ujue, ebu muache binamu yangu, sisi tuna crew yetu ya udaku, jiji zima linatuogopa, aaah aah