True...mi nilivyokutana na kiidrisa live na mwenzake wanaongea utoto utoto na michezo ya kufinyana, nikamuimagine na wema alivyo, na anavyomfunulia liharage lake...toka cku hiyo nilimnawa asee, she 's so cheap and worthlessness[emoji31] [emoji31] [emoji31]
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] mi nilidhani ukisikia mihogo utakimbiaBaby....bila kusahau matikiti!!tuwekeze sana tu!
Nna mpango tunnue eneo la Masaki tujenge kiwanda cha kutengeneza pipi!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] poleee...[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] mi nilidhani ukisikia mihogo utakimbia
Kamaa ndo hivyo ntakupenda hadi basi nitakuhonga hadi boxer zangu[emoji14][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] poleee...
haachwi mtu hapa!
Mkuu umebonga ,yah nikweli kabisa [emoji122]Hiyo inaitwa beauty with brain..... Wadada wengine siku hizi hawajui even beauty fades away unatakiwa kufanya vitu vya maana investment particularly wao wanaenjoy checking in kwenye prestigious hotel having dinner wapost intagram, kweli unaambiwa ukiwa na elimu + maarifa no one can take away your education.......
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] navyopenda kuvaa boxer za mume sasaaa....!!!Kamaa ndo hivyo ntakupenda hadi basi nitakuhonga hadi boxer zangu[emoji14]
Hahahaah Ila Mimi zitaweza kuvaa zako .[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] navyopenda kuvaa boxer za mume sasaaa....!!!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] usijali babaaHahahaah Ila Mimi zitaweza kuvaa zako .
Imeandikwa hivyo [emoji3]
Maaana
Pow bebi baadae nikakupitia hapo na li vogue tutakale magimbi na Ulanzi kwa mama Havintishi[emoji3][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] usijali babaa
worry out baby...!!Pow bebi baadae nikakupitia hapo na li vogue tutakale magimbi na Ulanzi kwa mama Havintishi[emoji3]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji119] [emoji119] [emoji119]worry out baby...!!
mie ntakunywa togwa!
Haa haa katudhalilisha wadada wa kichaga asee...ile anavyojibebisha ili kuondoa soni anakuwa amegida ulabu wa kufa mtu[emoji16] [emoji16] ...we unadhani hajui pale kama katokota, hata kama likiazi vipi, ukweli unabaki ukweli rohoni...Hahaaaaa wolper katisha
Halafu anavyojibebisha hadi aibh
hao unaowataja viuno ndo mitaji yao. tofauti wao ni voda fasta, Ky...aaaggrrh, namaanisha k-lin kakamattia chinihuyu dada kapata bingo tu.. na kajua kulitumia danga vizuri..
lakini yeye na kina mwafulani ndo wale wale..
angefanya kwa pesa zake kama kina odemba au millen tunge muelewa lakini huyo baba ni sponser kwake !
ambacho katufundisha ni kukamatia danga na kutulia kulichuna haswa.
nipende basi mie. ni kapuku, lakini chumbani nakamua hadi poo...na ntakupendaje!!Ndio nampenda tu,mke wa obama alijua mmewe atakuja awe raisi wa dunia?mama salma Kikwete je?mama janeth Maguful ,mi nawapenda makapuku
Hajawadharau
Angewaita ningemuona hana akili!
Wale walishajidharau wenyewe!
Btw hawaendani kabisa
Waligombana wale baada ya Nancy kuwa close na luca Nacy akaanza nyodo na kutaka share yake kwa Irene maana walikuwa na kampuni yao na ndio walikuwa wanatafuta warembo "visura" (mimi ni kisura najitambua) sasa mabo yalikuwa si mazuri Irene akamwambia poa utapata chako ila Nancy hakuwa na subira akafanya kama ugomvi vile kudai mwenzake HATAKI kumpa chake, kumbe alikuwa anakusanyiwa taratibu Irene aka mind akampa chake wakakata ushoga, ndio maana hata kwenye hilo kundi Irene sasa hayupo.
Waligombana wale baada ya Nancy kuwa close na luca Nacy akaanza nyodo na kutaka share yake kwa Irene maana walikuwa na kampuni yao na ndio walikuwa wanatafuta warembo "visura" (mimi ni kisura najitambua) sasa mabo yalikuwa si mazuri Irene akamwambia poa utapata chako ila Nancy hakuwa na subira akafanya kama ugomvi vile kudai mwenzake HATAKI kumpa chake, kumbe alikuwa anakusanyiwa taratibu Irene aka mind akampa chake wakakata ushoga, ndio maana hata kwenye hilo kundi Irene sasa hayupo.
Rodney Mutie Mengi. RIPAcha uongo wewe.. 2006 alifariki mtoto wake Mutie
Huyo dada ni Muha, babake alikuaga Dr. Pale kigomaKwani Familia za kihaya ndio Classic Family. Hao wahaya si ndio familia zilizokuwa zinzongoza kwa kuuza papuchi?
Rodney Mutie Reginal Mengi. ..RIP. ..Rodney Mutie Mengi. RIP