K-Lyinn azindua duka la kifahari nchini - Amorette

K-Lyinn azindua duka la kifahari nchini - Amorette

Unajua maana ya danga au unaongea tu popompo wewe. Ina maana hata baba yako ni danga kwa mama yako au sio?. Watu wamependana wameoana tatizo lipo wapi? Na huo udanga umetoka wapi? Usitake kuandika hapa ili watu wakuone na wewe umeandika kitu
unaweza ukasema walianza kudate lini?
 
Hili jambo nami hujiuliza sana, Mengi alikua hakufunga ndoa au more money less masharti ya kiimani n vice versa?
Umbea mwingine mbaya sana tena sio ajabu wanaodiscuss haya midume,hapa uzi unahusu biashara mnakurupuka na mke wa mengi yanawahusu nini
 
Yupo Machame Nkwarungo

Kajitulia zake na lile limjumba pale la maana

Kufukuzana hataki si unajua tena ndugu zangu wamachame wakishapata nyumba na friji wameridhika

No stress
Kitakachokuua mapema ni umbea tu sio kingine...Shuwain wewe fisi maji
 
Sijui ni ushamba wangu??!! Ila hii dining table kwangu mimi sio nzuri hata kidogo.

aw1a9465-jpg.401413
Ushamba kweli wa buguruni kwa mfuga mbwa kulia barazani nje choo
 
Nilishangaa ktk habari ya ITV habari hii ilipewa kipaumbele ktk habari za kitaifa na sio hata za biashara na ilichukua kama dk 6, dah!
 
-->>NI VYEMA ANGEANZISHA TAASISI YA KIFEDHA YA UKOPESHAJI,UKIZINGATIA HALI YA SASA NI NGUMU KWA KILA MTU./ AU AANZISHE A LARGER BONDS FACILITIES" KAMA ULAYA WITH A HUGE GODOWN./
wabongo watata sana kulipa mikopo, hasa awamu hii ya tano!
 
Hili jambo nami hujiuliza sana, Mengi alikua hakufunga ndoa au more money less masharti ya kiimani n vice versa?
Tujadiliane tunajifunza nin kwenye biashara zake, kujadili kaoa lini na nani haitusaidii kitu!!
 
hahaha usinitukanie Odemba wangu wa tangazo la Revola sabuni , yaani nampenda yule Dada hakuna aliyemfunika hadi sasa! wakina odemba na millen wanatoa kutokana na uwezo wao huwez fananisha na huyo klyn mke wa bilionea
Me Miriam Odemba nampendea kwenye confidence duuh that chick got it at the fullest.
 
Back
Top Bottom