ora
JF-Expert Member
- May 21, 2016
- 1,198
- 1,126
unaweza ukasema walianza kudate lini?Unajua maana ya danga au unaongea tu popompo wewe. Ina maana hata baba yako ni danga kwa mama yako au sio?. Watu wamependana wameoana tatizo lipo wapi? Na huo udanga umetoka wapi? Usitake kuandika hapa ili watu wakuone na wewe umeandika kitu