Heaven on Earth
JF-Expert Member
- Mar 21, 2013
- 37,226
- 26,687
Mpwa muulize Heaven on Earth... kuna siku humu humu jamvini nilimwomba tufanye practical experiment fulani hivi... nikamtajia aina ya test tube zitakazotumika kwenye hiyo practical... bwaha eh, wacha atoke nduki... hadi sasa akiniona kwenye uzi hasogei... ndo kwanza ananitishia eti n'na kesi!!
Mpwa muulize Heaven on Earth... kuna siku humu humu jamvini nilimwomba tufanye practical experiment fulani hivi... nikamtajia aina ya test tube zitakazotumika kwenye hiyo practical... bwaha eh, wacha atoke nduki... hadi sasa akiniona kwenye uzi hasogei... ndo kwanza ananitishia eti n'na kesi!!
Mambo c ndo hayo bwana... hapo sasa naona unaanza kuongea kiutu uzima manake mambo ya kutishiana nyau sio kabisa! Hebu andaa mwongozo kabisa manake sio tunafika Lab unaanza, oh, tulikubaliana Alternative to Practical, aaaaaaarrgh!unaonaje hiii weekend hii tufanye hiyo practical chige
Mambo c ndo hayo bwana... hapo sasa naona unaanza kuongea kiutu uzima manake mambo ya kutishiana nyau sio kabisa! Hebu andaa mwongozo kabisa manake sio tunafika Lab unaanza, oh, tulikubaliana Alternative to Practical, aaaaaaarrgh!
Tutumie microscope umesikia tuna mpango wa kuchunguza bacteria? we vipi!! Hapa mwendo ni kuchukua specimen, inawekwa ndani ya kinu cha mahabara, kisha inafuata kazi ya kutwanga kwa kwenda mbele hadi specimen ilainike laiiiiiiini tayari kwa kuiweka kwenye bika wakati tunasubiria Practical Step II! Au nimekosea Heaven on Earth?!Fanyeni ni microscope sasa ivi tuone
Tutumie microscope umesikia tuna mpango wa kuchunguza bacteria? we vipi!! Hapa mwendo ni kuchukua specimen, inawekwa ndani ya kinu cha mahabara, kisha inafuata kazi ya kutwanga kwa kwenda mbele hadi specimen ilainike laiiiiiiini tayari kwa kuiweka kwenye bika wakati tunasubiria Practical Step II! Au nimekosea Heaven on Earth?!
Hapa hakuna cha kuandaa vitendea kazi wala nini manake nipo full na tool box yangu kila pahala! Kama nakutana na gari bovu, linafunguliwa on the spot, tunafanya overhaul kisha nauliza, yamo? Kama jibu ndio, nalipiga starter hapo hapo! Dah! Tena umenikumbusha mistari yangu ya hip hop wakati nipo form ii "dereva mwenye gari bovu usinipe usije ukanipa kesi... siwezi kwenda taratibu... nimeshazoea kwenda mwendo wa kasi...!" dah... cjui kwanini nimeachia kipaji changu!!!!!!we andaa vitendea vyako vizuri tuu na mie naandaa vyangu.........
tupime yaliyomo YAMO KWELI????????????/
Hapa experiment ni moja tu lakini itabidi irudiwe kama mara tano hivi ili kupata uhakika na majibu! Lengo la experiment is to find out what will happen when a test tube of extreme length and girth is to be completely immersed in the the flask! Je, hizi flasks zilizo kwenye mahabara za ahsante JK kweli zina uwezo wa kuhimili kila aina ya test tube au kuna zingine ukizitumia na flasks zenyewe zinavunjikia mbali! Labda kama Heaven on Earth anataka experiment za kupasua vyura... hebu njoo uthibitishe hapa!!SI mnafanya experiment ya kila kitu jamn
Hapa hakuna cha kuandaa vitendea kazi wala nini manake nipo full na tool box yangu kila pahala! Kama nakutana na gari bovu, linafunguliwa on the spot, tunafanya overhaul kisha nauliza, yamo? Kama jibu ndio, nalipiga starter hapo hapo! Dah! Tena umenikumbusha mistari yangu ya hip hop wakati nipo form ii "dereva mwenye gari bovu usinipe usije ukanipa kesi... siwezi kwenda taratibu... nimeshazoea kwenda mwendo wa kasi...!" dah... cjui kwanini nimeachia kipaji changu!!!!!!
Swadakta... tena na full data! Kwamba mathalani, experiment ya kwanza ilichukua dakika kadhaa kukamilika na baada ya hapo, ilikuwa kila ukijaribu kuchanganya chemicals... kimyaaa! Kila Bunsen Burner ikiwashwa, dakika tu; puuu... imezima!Here we go..... practical experiment ikifanyika ushuhuda tunakuja kuutoa hapa hapa
Umeona enh, tena si ajabu ningekuwa nishamla Madam Wema manake wakati ule kabla hajahamia Uchina nilikuwa nammezea mate,we acha tu! Kuhusu mistari, bila kusema itabidi nikushushie baada ya kukamilika kwa practical manake hamkawii kudai hela eti ya kufidia makemiko na test tube zilizovunjika! Hapa practical tu, maombi ya kufidia kemikoz zilizotumika yatapelekwa kwa afisa elimu!ungekuwa unaimba sa hivi ungekua maarufu full kukujadili hapa celebrities forum.....
siku ya practical jiandae kunishushia Mistari pia..hilo litafanyika baada ya zoezi letu
Ndo ukweli Nifah kutongoza wanatongoza watoto
Mi mwenyewe ukianza kunitongoza hata sikusikilizi....
Hahahahahaa, ila akianza na vidate vya dinner na kitu kama laki 5 za kuweka mafuta kwenye gari itakuwaje?
Yes I do darling... Yes I will hubby...
Hahahahahaa wewe kiboko sikuwezi!
Kwahiyo hutaki maneno matupu wewe?
Akhuu kwani mie mwandishi kusema nataka maneno nijaze kitabu???
Swadakta... tena na full data! Kwamba mathalani, experiment ya kwanza ilichukua dakika kadhaa kukamilika na baada ya hapo, ilikuwa kila ukijaribu kuchanganya chemicals... kimyaaa! Kila Bunsen Burner ikiwashwa, dakika tu; puuu... imezima!
Umeona enh, tena si ajabu ningekuwa nishamla Madam Wema manake wakati ule kabla hajahamia Uchina nilikuwa nammezea mate,we acha tu! Kuhusu mistari, bila kusema itabidi nikushushie baada ya kukamilika kwa practical manake hamkawii kudai hela eti ya kufidia makemiko na test tube zilizovunjika! Hapa practical tu, maombi ya kufidia kemikoz zilizotumika yatapelekwa kwa afisa elimu!
si ukanunue gazeti ujipepeeTeh Teh huyo lecturer ni muongo...eti daaa kama mbuni.....hiyo kali
We nawe kwa kupenda pesa; ahaa! Haya bwana, kwanza hata wanafunzi vyuo vikuu wanapewaga allowance; seuze wewe practical trainee... andaa claim form kabisa bila kusahahu kuambatanisha na payment voucher!Haaaaa ur crazy lol...
Practical haifanyiki bure we jiandae in advance kulipia vitendea kazi
Uwiiiiii wewe mwanamke nimekuvulia kofia kwakweli.Maneno yalikua zamani enzi za kuandikiana barua na kuchoreana makopa, siku hizi ni mwendo wa pochi tu.
Kiukweli hakuna mwanamke anayependa kuwa na mwanaume masikini hata kama awe na maneno matamu kuliko asali.