Lazima na yeye atakuwa na fungu lake!!Atakomaa sana kuzipata
Walituaminisha kuwa wanaishi βhappily ever after β.Watu wameanza kuhoji kama yale maisha na mapicha picha yaliyokuwa yanatumwa kwenye mitandao ya kijamii hayakuwa na ajenda nyingine nyuma yake zaidi ya mahaba niue?
Nyie watu mna maneno hatari!!Usimwamini mwanamke, stay tuned , haya haya ya Adam na Eva, mahaba kama yote, ndani ya dk 0 akakuta demu kashaiuza dunia af anamchekea ππππ....!! ndo hvo lakn hakuna namna
Kama Huyo manzi alikuwa hajamchota mzee hela kpind cha uhai wake bas huyo demu atakuwa bonge la fala, alitakuwa mpak sa hv awe na reserve ya 50billion, badae mambo yakiwa kama hv unajikausha kama huoni, hata wakikupa shiling mia fresh tuu....Kumbuka familia ya Mengi kuna wasomi na mwanashiria wa familia. Kuna watoto wakumbwa na wadogo kuna jamaa yake iliyokuwa inamtegemea kwa maandishi. Wosia ilivyo andikwa . Sio kweli mapesa yote ni Kylin. Atakomaa sana kuzipata
Mengi hana Jeuri ya Kumuachia Klyn urithi mdogo hata kidogoo...!! Kwa wale mapacha kama Mondi amemwachia zari nyumba sasa Mengi si ataacha Mabillioni...Kumbuka familia ya Mengi kuna wasomi na mwanashiria wa familia. Kuna watoto wakumbwa na wadogo kuna jamaa yake iliyokuwa inamtegemea kwa maandishi. Wosia ilivyo andikwa . Sio kweli mapesa yote ni Kylin. Atakomaa sana kuzipata
Mimi nilifikiri huyo mama angesema nitatumia off yangu kwenda kuangalia mahesabu ya duka langu au nitaenda bagamoyo kuangalia shamba langu linaendeleaje.Wanawake walio wengi Huridhika na mambo madogo km nyumba na gari!Nilikua kazini, nilikutana na mama mmoja yeye ni cleaner. Alinieleza kesho yuko off, nikamuuliza umepanga kuitumiaje off yako. Alinijibu nitalala nikiamka nisafishe nyumba. Mimi nilimjibu kama jua linatoka mimi ninapenda kutembea madukani. Alinijibu yeye huenda madukani akihitaji kununua kitu. Aliendelea kuwa kama huna plan na hela uatajza mavitu wakati nyumba na gari huna.
Wanaume wengi mwisho wa wiki huwa tunafanya nini zaidi ya kwenda kunywa pombe na kujivinjari na michepuko yetu?Wanawake walio wengi Huridhika na mambo madogo km nyumba na gari!
Mkuu mimi Week end hutumia kwenye shamba langu la kuku na mbogamboga pamoja na kuhudhuria ibada, kanisani!Wanaume wengi mwisho wa wiki huwa tunafanya nini zaidi ya kwenda kunywa pombe na kujivinjari na michepuko yetu?
Well ninamheshimu kwakua akinifundisha kitu. Nyumba anayoishi ni ya kwake, Ana uhakika wa pension akistaafu. Ana amani moyoni.Mimi nilifikiri huyo mama angesema nitatumia off yangu kwenda kuangalia mahesabu ya duka langu au nitaenda bagamoyo kuangalia shamba langu linaendeleaje.Wanawake walio wengi Huridhika na mambo madogo km nyumba na gari!
Hapo ndipo watu wanapokosea unafikiri mtu km Mengi angeridhika na nyumba moja, mshahara na pension yake, Leo tungekuwa tunamsifu kwa mapambio humu? Nimegundua maono ya watu wengi ni kuwa na nyumba, gari, watoto wasome English medium. Basi hapo ndipo wamemaliza. Lazima tuwe na mawazo ya kuacha alama hapa duniani. At least uwe na hata wafanyakazi 10 uliowaajiri ambao wao na familia zao wataomboleza kwenye msiba wako. Na huo uwezo Sky Eclat najua unao. Kama unadhani hauna nitafute nikuambie cha kufanya!Well ninamheshimu kwakua akinifundisha kitu. Nyumba anayoishi ni ya kwake, Ana uhakika wa pension akistaafu. Ana amani moyoni.
Hivyo vidole vya mikono yako vinalingana?Hapo ndipo watu wanapokosea unafikiri mtu km Mengi angeridhika na nyumba moja, mshahara na pension yake, Leo tungekuwa tunamsifu kwa mapambio humu? Nimegundua maono ya watu wengi ni kuwa na nyumba, gari, watoto wasome English medium. Basi hapo ndipo wamemaliza. Lazima tuwe na mawazo ya kuacha alama hapa duniani. At least uwe na hata wafanyakazi 10 uliowaajiri ambao wao na familia zao wataomboleza kwenye msiba wako. Na huo uwezo Sky Eclat najua unao. Kama unadhani hauna nitafute nikuambie cha kufanya!
Kila mtu anatafuta fullfillment. Kuna wengine wanataka amani ya moyo na utulivu ila wengine bila pesa zaidi maisha hayajakamilika. Tunaelewana tu namna hiyoHapo ndipo watu wanapokosea unafikiri mtu km Mengi angeridhika na nyumba moja, mshahara na pension yake, Leo tungekuwa tunamsifu kwa mapambio humu? Nimegundua maono ya watu wengi ni kuwa na nyumba, gari, watoto wasome English medium. Basi hapo ndipo wamemaliza. Lazima tuwe na mawazo ya kuacha alama hapa duniani. At least uwe na hata wafanyakazi 10 uliowaajiri ambao wao na familia zao wataomboleza kwenye msiba wako. Na huo uwezo Sky Eclat najua unao. Kama unadhani hauna nitafute nikuambie cha kufanya!
Inaonekana mwili ulikusisimuka sanaMmoja nilikutana nae Mlimani City analipia shopping ya nguo million 3 dada aliitoa cash
Ni kweli kabisa!!Tutafaham akishazikwa mzee
Nyimbo ipi hiyoDiamond aliwahi kupiga show sebuleni kwake... shimakoo pesa..
@raynavero hukujibu swali langu kule kuwa eti mamaake mzazi Jacq yuko hai anaishi upanga?[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]wanadamu kama kinyonga
Mungu amekuweka duniani ili uweze kuathiri ulimwengu wako ,jamii inayokuzunguka, kwa njia moja au nyingine. Kama wewe ni doctor, mwalimu, mchungaji, Mkulima ,mfanyabiashara unatakiwa uache alama. Acha kuishi kuibinafsi kujifikiria wewe tu na familia yako!Kila mtu anatafuta fullfillment. Kuna wengine wanataka amani ya moyo na utulivu ila wengine bila pesa zaidi maisha hayajakamilika. Tunaelewana tu namna hiyo
Mimi nakuona unaweza kufanya jambo la kuacha alama mkuu Sky Eclat!Hivyo vidole vya mikono yako vinalingana?