Kaa na ujenge nami

Kaa na ujenge nami

Makadirio yangu hapo nitaongeza tofali 1000 kila tofali ni 1100 so itakuwa 1100000, hapo nna assumu nitatumia kama mifuko 25 ya cement ambapo kila mfuko ni 16000 kwa sasa, mbao za kukodi na mirunda ya kununua kama 4 kwa ajili ya kupandaia. Mchanga upo ila nitaongeza trip nyingine ya 70000 uko. Kokoto zipo ila nitaongeza trip 1 ya 140000. Na nondo n.k na ufundi roughky sitegemei kama sitafika mls 4. Lakini una estimate hivi zinakuja gharama za vitu vidogo vidogo zinaongezeka
Ni vizuri utafikisha Kwa uwezo wa Mungu...Naona msingi ni hatua kubwa sana .
 
Ni mashimo mawili kubwa na dogo. Sikutaka kujenga haya mashimo ya kisasa maana kuna wengine yanawapa changamotom halafu nilitala jenga moja tu kubwa fundi akanielezea mechanism ni kwanini yanakuwa mawili moja dogo la rectangle na kubwa la circle.
Dogo linakuwa limesakafiwa vizuri na linakuwa na maji ndani halafu na ukuta flan, kinyesi kikija kinagonga kwenye ukuta kinachambuka maji yakifka level fulani yanahamia shimo kubwa ambalo lina matundu na halijasakafiwa hivyo maji yanapenda chini. Pia shimo dogo coz linabaki na maji linazuia harufu kurudi.
Baada ya kunieleza nikajua kwanini yanakuwa mashimo mawili nikaamua poa hata kama inacost bora ni jenge hivi. Halafu kwetu tulikuwa wengi tulihamiaga 99 mpaka leo hayajawahi kunyonywa wala kujaa na ni mashimo mawili. Mind you tulikuwa watu kama 9
Umepigwa mafundi wengi hawajui maana ya septic na wewe hata na sim yako umeshindwa hata ku google umepoteza pesa bure tu

Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
 
Umepigwa mafundi wengi hawajui maana ya septic na wewe hata na sim yako umeshindwa hata ku google umepoteza pesa bure tu

Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
Inawezekana mkuu lakini from my experience as long as hayajai fresh tu maana nisingependa kuja kutapisha vyoo au kuanza kurekebisha mfumo upya. Hapo ntakuja mwaga udongo yawe level sawa na ground
 
Hongera, lakini bafo kuna kasafari karefu. Hapo kwenye kusimamisha boma ni fasta tu nyumba inaota kama uyoga, shughuli itakuja kwenye kupaua, plasta, finishing huko n.k hakuna kazi ya chini ya milioni.

Mungu akufanyie wepesi.
Yah mkuu yanapoanza kuwa maneno ya kiingereza balaa linaanza. Budget ya kupaua ninayo huko kwingine ndiko balaa
 
Hongera, itakuwa nyumba kubwa, yaani meshatumia 6.4m lakini nyumba haijasimama!
Kwa hiyo makadrio yako mpaka kumaliza boma ni bei gani?
Mawazo yangu nilikuwa nimekadiria mpaka naezeka nitatumia mls 11, lalkini sasa nadhani nitatumia mls 16 hivi. Yani hapo nitakuwa nimejenga msingi wenye mkanda, mashimo ya choo, boma, na kuezeka. si kubwa sana mkuu ina square meter 146
 
Hongera, itakuwa nyumba kubwa, yaani meshatumia 6.4m lakini nyumba haijasimama!
Kwa hiyo makadrio yako mpaka kumaliza boma ni bei gani?
Mashimo mawili yanagharimu wastani Mil 2.5, Kwaio tunaweza kusema nyumba wastani imetumia Mil 4, ni sawa tu.
 
Me nilitaka kujua gharama za ufundi ( If you don't mind).
Kujenga msingi wote
Na hayo mashimo
 
Mkuu gharama za ufundi wa msingi fundi kachukua ngap maan nataka nipige msingi raman yang ina 131m²
 
Back
Top Bottom