Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nadhani ni hasira kweli ya kuachwa. Samehe bureAna hasira ya kuachwa huyo msamehe bure
Kwa maana kwamba pamoja na babaake sisi sote ni mbuzi na tunakula majani siyo!![emoji38] [emoji38]WANAUME WOTE NI MBUZI...
Nikamuuliza:-
UMESHAMPA MAJANI BABAKO...!??
Kani-Block...!
Sasa mimi kosa langu ni nini eti...!????
� *sipendagi ujnga mm* ��
Kuna mchepuko wangu nilisitisha huduma ukaandika "huwa sifugi mbwa" sikuutafuta kama miezi mi 3 ukanitumia sms "jamani sweet mbona kimya" nikamjibu toka lini "mbwa anakuwa online"Bilashaka aiseeee..[emoji13] [emoji13]
[emoji240] Hahaahaaaa......[emoji23] [emoji23] [emoji23]Kuna mchepuko wangu nilisitisha huduma ukaandika "huwa sifugi mbwa" sikuutafuta kama miezi mi 3 ukanitumia sms "jamani sweet mbona kimya" nikamjibu toka lini "mbwa anakuwa online"
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]WANAUME WOTE NI MBUZI...
Nikamuuliza:-
UMESHAMPA MAJANI BABAKO...!??
Kani-Block...!
Sasa mimi kosa langu ni nini eti...!????
� *sipendagi ujnga mm* ��
Labda alidhani babaake sio mwanaume[emoji134] [emoji134]WANAUME WOTE NI MBUZI...
Nikamuuliza:-
UMESHAMPA MAJANI BABAKO...!??
Kani-Block...!
Sasa mimi kosa langu ni nini eti...!????
� *sipendagi ujnga mm* ��
duh! hulali...? 😱Labda alidhani babaake sio mwanaume[emoji134] [emoji134]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] hapana naogopa kufa..niliambiwa zamani kulala ni sawa na kufaduh! hulali...? 😱
jaribu kufanya practical uone je utakufa ama hautakufa😀😀[emoji23] [emoji23] [emoji23] hapana naogopa kufa..niliambiwa zamani kulala ni sawa na kufa