mi hiyo ya kumpiga mwanamke ndo kitu ambacho kinaniingia sana..
maisha bana halafu utaona huyo mwanake haondoki . saa nyingine
ndoa hazina faida kwakweli..
Halafu hii wanawake wanaipenda kweli sijui kwa nini,unasikia fulani ananiibia mume wangu,hapo mume anaachwa vita inakuwa kati ya mke na huyo anayechit na mume.
Ndoa zina faida bana, especially ukiolewa na RAIS. Hawezi kukupiga, atakua anakupet pet tu.
RAIS hawezi kabisa kuinua mkono kumpiga fest ledi wake.
Huwezi linganisha ukosefu wa kuzaa na kucheat.
Wengi hawapangi kushindwa kuzaa wakati cheaters wote wanapanga kucheat. Kutokuzaa hakumshushii mwenzi heshima , kucheat kunaondoa kabisa.
Wewe unaona sio tatizo sababu ya definition yako ya ndoa na nini unatafsiri kama usaliti katika ndoa infertility haipo.
Hujawahi ona ndoa imevunjika sababu mwenza mmoja hana uwezo wa kuzaa?
Tena ndugu wanakuletea mke mwingine na asiyezaa anarudishwa home na wala hata yeye halalamiki sababu anajua haja-meet priority za ndoa yake.
Well kama sikuelewa vizuri maelezo yako hapo chini naomba unieleweshe.
AD, would stay with desh desh if he were to beat you up routinely?
Ndoa zina faida bana, especially ukiolewa na RAIS. Hawezi kukupiga, atakua anakupet pet tu.
Hahahaha sio RAIS huyo anaeheshimiwa kila kona na wabeba box, kuna mwingine asiye na utawala ila bado ni RAIS.
Hahaha. Haya basi let me leave your. . . . . alone. Sitaki uchukie na nimeshaona dalili.Na we bwana , utapanda sana kichwa akijua unamuongelea yeye acha bana hivyo...
Halafu unanikatisha maini hata ku m date watu wa namna ile eti. unamsakama sana bana lohhh
if he just pointed his finger to me .... "I'm out for good"
Geez louise! Thanks for bursting my bubble lol.
As bad as it may sound, I kinda agree with you.
Hahaha. Haya basi let me leave your. . . . . alone. Sitaki uchukie na nimeshaona dalili.
Huwezi linganisha ukosefu wa kuzaa na kucheat.
Wengi hawapangi kushindwa kuzaa wakati cheaters wote wanapanga kucheat. Kutokuzaa hakumshushii mwenzi heshima , kucheat kunaondoa kabisa.
I know, I know.Ndo maana nakupenda kidonchoooo
ngoja niwaache we NN mi huyo ..
Naenda kutoa lecture za "Tampons"..
Lizzy, I gues Kongosho anafikiria katika context tofauti kabisa na unayotuambia hapa
Amesema inategemea na makuzi kwa mfano mtu aliyolelewa, anachukuliaje suala la kumega nje
Niharakishe tu kusema kuwa mtu anaweza kupanga kutokuzaa, hasa kama amefanya vitendo hatarishi kama kutoa mimba nk,
Lakini pia, sio kweli kwamba cheaters wote wanapanga kucheat,,,....na hapo bold, inategeam unaishi kwenye jamii ya namna gani!
Naenda kutoa lecture za "Tampons"..
Hiyo lecture inafanyikia kwenye auditorium ipi?